Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
Kumbe unamaanisha wakimya! Pole!
Nawewe kumbe mpole?aisee! unamaanisha mpole kama mimi...?
I think hujanielewa. Nikisema mwanamke jike dume unaelewaje labda!Hapana Doto Dotto mi ni mwanamke kamilifu kabisa. Sio lazima niwe na mtizamo wako, wanaume wapole siwapendi hata kidogo.
Kweli sijaelewa, ebu fafanua basiI think hujanielewa. Nikisema mwanamke jike dume unaelewaje labda!
sana kabisa.......Nawewe kumbe mpole?
Hongera hata kiwa ni mpolesana kabisa.......
hivi kuna mwanaume ambaye anapenda mwanamke mapepeAsilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa kwenye mahusiano na wanaume wapole,ni sababu zipi zinawafanya kuingia katika mahusiano na wanaume wapole ?
Karibuni
Mi ni mkari tena mkurya lakini mademu wanani mind ile mbaya Na sina tabia ya kuongaSasa tupende wagomvi ili iweje?mwanaume mpole ndo mpango mzima sio jitu kitu kidogo tu makelele, ugomvi, badala ya kukuelewesha kwa upole anaongea mpaka anasimamia kucha
Toa kingereza chako hapa peleka kule sisi tumesoma senti kayumbaIt's always topsy turvy with women. One minute they're down with none but draking, the next one they on some Ol' Dirty Bastard's vibe, going shimmy-shimmy-yah and what not. I like 'em mysteriously tho.
Mimi hapaMingine mikorofi utazani imeogea u.p.u.p.u au imekula pilipili kichaa.
Mmmh umeuaSasa tupende wagomvi ili iweje?mwanaume mpole ndo mpango mzima sio jitu kitu kidogo tu makelele, ugomvi, badala ya kukuelewesha kwa upole anaongea mpaka anasimamia kucha
dawa yako unachemkaaaMimi hapa