Kwanini wanawake wanapenda wanaume wapole?

Kwanini wanawake wanapenda wanaume wapole?

Asali.jpg
 
Huo sio upole ni ujinga


Ndiyo maana wanawake wanapenda wanaume wa namna hii kwani wanawaona ni wajinga, wao kila kitu "Yes Dear" huku mwanamke akicheka na kushukuru Mungu kupata zoba wa kuligeuza namna anavyotaka.
 
Wanaume wapole wengi ni washenzi wa tabiaa. Yaan wanaua kimya kimya. Uhiii ctak hata kuwaona tena. Nilikua nahis wapole hadi tabia loo lakin loo motooo wa kuotea mbali
 
Sasa tupende wagomvi ili iweje?mwanaume mpole ndo mpango mzima sio jitu kitu kidogo tu makelele, ugomvi, badala ya kukuelewesha kwa upole anaongea mpaka anasimamia kucha
Mimi mpole sana pls tutafutane.
 
Nani kakudanganya wewe? Huyo aliye kukataa akamkubali mpole no mmoja kati ya 20.
 
Kuna mdau kasema hapo juu ,maana ya upole ni nini ?? Kila mtu anakuja na analolijua ,ila kuwa mpole haimaanishi kwamba ndio anakubali kuonewa kama baadhi ya comments za wadau hapo juu ,hawa watu nawaogopa sana,hasa kwenye maamuzi ,anaweza akavumilia jambo kwa muda ila siku akisema sasa imetosha hapata kalika
 
Tena sana.......naweza nikajisahau nikakuzaba kofi ikawa balaa.......
Preta wangu siku zote unaniwakilisha ilivyoo mijitu mipole ni minafiki sana! Ata mimi janamke pole sogeza mbali na mie...! Mnaweza cheza match limenuna tu kuongea mpaka lichombezwe..
 
Wengi wao wanahisi kuwa secured wanapokuwa kwenye relationship na mwanaume mpole.
 
Back
Top Bottom