Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
- Thread starter
- #81
Mie nae jenga nDOa to be na huyu mmachame nifwanyeje ati. .
mi nakushauri ngangana nae mpwa ila ukishindwa kuwahi kujenga kwenu utajenga kwao piga ua na hiyo
si ombi ni lazima utatujuaje kaskazini na kusini...kaulize oldmoshi lami inavyomwagika wakwambie na mtwara
kulivyo ujue atukuja kutengeneza uzi wa viatu dar tumekuja kushona viatu na kuchkua heleri zenu ati