kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,490
- 1,363
Mimi nitakueleza kisomi zaidi nikiwa kama mtaalam...Mwanamke ameumbwa na uchafu mwingi mwilini ndio maana ata kila mwezi anaenda period au kinyesi chake kina harufu kali sana...Sasa huu uchafu kwenye mwili unakaribisha wadudu wabaya kujificha mwilini ndio maana wanawake wengi ndio uwa na majini au mapepo...Viumbe vichafu vinavyojificha ndani yake ndio vinamfanya mwanamke kuwa na roho mbaya na kutokkuwa na upendo kwa watu haswa wenzake kama mawifi,majirani nk nk.
Hili ni swala la kitaalam ukitaka ntakuchimbulia zaidi.
Nimekunyaka Copro Matumbo!.....