pucheon
Member
- Sep 13, 2016
- 20
- 19
Kwa utafiti mwingi nilioufanya japo sina data za kupresent hapa lakini kuna haka katabia cha wanawake wengi walioolewa kutowapenda ndugu wa mwanaume hasa linapokuja suala la kuwasaidia kifedha na hata kimawazo.
Hua wanaonyesha waziwazi kuchukizwa endapo mwanaume ataamua kuwasaidia ila ikitokea ndugu zake ndo wanaitaji msaada iyo siku utapigiwa kelele na ata papuchi hutopewa kamwe.
Je tatizo ni nini wadau maana wengi wao wapo ivyo?
Hua wanaonyesha waziwazi kuchukizwa endapo mwanaume ataamua kuwasaidia ila ikitokea ndugu zake ndo wanaitaji msaada iyo siku utapigiwa kelele na ata papuchi hutopewa kamwe.
Je tatizo ni nini wadau maana wengi wao wapo ivyo?
