Kwanini wanawake hamridhiki?

Kwanini wanawake hamridhiki?

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,463
yaani unahudumiwa vizuri, unagegedwa vizuri... hadi unatoa milio yote ya simu mpaka unaikimbia dushe bt bado unataftwa na x aliekuacha kwa kukudhalilisha vibaya unarahisika na kumcheat mwenza wako???
tatizo ni nini?? naombeni mnijibu yenu, pia wahanga wenzangu tufarijiane
 
yaani unahudumiwa vizuri, unagegedwa vizuri... hadi unatoa milio yote ya simu mpaka unaikimbia dushe bt bado unataftwa na x aliekuacha kwa kukudhalilisha vibaya unarahisika na kumcheat mwenza wako???
tatizo ni nini?? naombeni mnijibu yenu, pia wahanga wenzangu tufarijiane
Itakuwa ame miss kuzibuliwa mtaro na ex.. sasa wewe kima huzibui mtaro...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaa kwa utulivu uongee nae kirafiki bila hasira. Ni nini anakosa kwako. Uamue kama utaweza kumpatia, umpatie. Kama huwezi umuache aende zake. Binafsi naamini mwanamke akianza kucheat kuna kitu anatafuta na moyo wake umehama. Hapo kwako anakaa ulee watoto tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mwenzio anapendwa zaidi kuliko wewe, ukute ww ulikuwa spare tu. Ulimkuta wkt yeye yupo kwenye mkwaruzano na huyo aliyekuwa mpnz wake.
 
Back
Top Bottom