Jamani!!!!
Hili ndio tatizo letu, mtu usipoona kosa katikakitu flani watu wanadhani
na wewe unafanya, kwa nini?
Mimi ni msukuma pure kabisa nyumbani ni Lyamidati, ukiachilia mbali
taalumu yangu pamoja na kazi ninayofanya kutokubaliana na vitu kama
kusuka nywele, mimi binafsi sipendi na wala sijawahi waza kufuga nywele
achilia mbali kusuka.
Pamoja na kutopenda kwangu, lakini sio kitu cha ajabu mwanaume kusuka,
inategemea na mazingira na kazi yake, Mbona waganga na wacheza ngoma za
kienyeji baadhi husuka nywele na hujaza mashabiki hukohuko
usukumani!!??, Lekaga nkimaebhe, kwandya nakutogilwe, nadasukaga unene,
utizuunilema, dihaya nakupm tuyombe kisoga.
Mnazoeshwa taratibu na mmekubali lakini hamtaki kumalizia.
Haya yote ni maandalizi tu ili mwisho wa siku siku tutekeleze lile ombi la Obama na Cameroon kwa ulaini.
Msiwe wakali basi tunapotakiwa kufanya ile kitu Museven alimegomea, mbona maandalizi yake mshafaulu?
Naona nimekugusa sana huna point zaid ya kutoa povu tú dume zima unasuport madume wenzio kusukwa?LOL bila aibu? paka na shedo kabisaaaa maana unatamani kua mwanamke kama mm kumbuka kua amelaaniwa mwanamke anayejifananisha na mwanaume na Mwanaume anayejifananisha na mwanamke.....kwa namna moja ama nyingine iwe mawazi n.k.
Ee Mungu nusuru vizaz vyetu!!!!!!!
Mwanaume hata kufuga nywele ni ushoga tu!Unapata muda gani wa kutunza nywele kila siku?
Halafu kama mtafuatilia asili ya vitu kama pete mnazoita za ndoa,mtashangaa kwani ilikuwa ni ishara ya mtu ambaye ameshaingiliwa mf kwa mwanamke ni ishara kuwa siyo bikra na kwa mwanaume basi ilionyesha naye kishaingiliwa kinyume!Ila siku hizi wanavalishwa tu kanisani!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
njoo na ww tyta nkusukee teh teh tena bureee!:smile-big:watu wanawaponda halafu wamejaza miziki yao kwenye simu zao..very fun...
angoshi!!Lekaga jenejo ng'wana mayo
mwanaume kusuka ni mambo ga sagala sagala gete
njoo na ww tyta nkusukee teh teh tena bureee!:smile-big:
Ili uweze kufika 3 basi 1 na 2 huwe umezipita...ukipenda ukihusudu kinachoamishika actually uta-copy na ku-paste...wasukao wamependa na wanahusudu tabia na matendo ya dada zao suala hili litawafikisha 3(ushoga) kwa maana 1 na 2 wamekwisha zipita as we see european nations needs Africans to accept no 3 (ushoga) coz we have already pass no 1 n 2...they ar not stupid than u think...wameliona hilo kuwa wanaojiita wanaume wapo wengi Africa