Wervemarcel
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,293
Nawasalimu wakuu wote.
Leo mchana wakati nipo kwenye daladala, nikawa nawaza kimya kimya.
Kwanini utasikia Mwanamke ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mume au mpenzi wake manjonjo asitoke kando?
Naomba nikiri, sijawahi kusikia tangu nimezaliwa, mwanaume ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mke limbwata au mapenzi yakolee, Kuna nini hapa?
Inasemekana hata hawa vijana wa kiume wadangaji ( kina saydavto, noel gio etc) ni waumini wa waganga ili kulinda madanga yao, kwanini madanga hawaendi?
Nisiwachoshe tu ningependa kufahamu kuna connection gani hapa. Ni hilo tu kwa leo.
Leo mchana wakati nipo kwenye daladala, nikawa nawaza kimya kimya.
Kwanini utasikia Mwanamke ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mume au mpenzi wake manjonjo asitoke kando?
Naomba nikiri, sijawahi kusikia tangu nimezaliwa, mwanaume ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mke limbwata au mapenzi yakolee, Kuna nini hapa?
Inasemekana hata hawa vijana wa kiume wadangaji ( kina saydavto, noel gio etc) ni waumini wa waganga ili kulinda madanga yao, kwanini madanga hawaendi?
Nisiwachoshe tu ningependa kufahamu kuna connection gani hapa. Ni hilo tu kwa leo.