Kwanini wanaume hawafanyi hivi?

Nitofauti sana labda hujawai kuona au kusikia ila wanaume wao pia wanaenda ila wengi wanaenda kuweka ulinganifu wa nyota au kushusha nyote ya mkewe kama ni Kali kuliko yake ili aweze kumhandle au asillkilizwe na mkewe kabla hawajaoana iyoo ipo sana na wengine wanaangalia kama mwanamke ana nyota nzuri ambayo itakuwa mwanga kwake kwenye biashara au shughuli zake binafsi iyoo nimeiona sana kwaiyo si kwamba hawaendi wanaenda sana hasa mikoa ya pwani ya bahari hayo mambo yapo sana
 
Nawasalimu wakuu wote.

Leo mchana wakati nipo kwenye daladala, nikawa nawaza kimya kimya.

Kwanini utasikia Mwanamke ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mume au mpenzi wake manjonjo asitoke kando?

Naomba nikiri, sijawahi kusikia tangu nimezaliwa, mwanaume ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mke limbwata au mapenzi yakolee, Kuna nini hapa?

Inasemekana hata hawa vijana wa kiume wadangaji ( kina saydavto, noel gio etc) ni waumini wa waganga ili kulinda madanga yao, kwanini madanga hawaendi?

Nisiwachoshe tu ningependa kufahamu kuna connection gani hapa. Ni hilo tu kwa leo.
Ukiweza kujua shetani aliongea nini cha ziada na Eva, ndo utajibu hili swali.
 
Nitofauti sana labda hujawai kuona au kusikia ila wanaume wao pia wanaenda ila wengi wanaenda kuweka ulinganifu wa nyota au kushusha nyote ya mkewe kama ni Kali kuliko yake ili aweze kumhandle au asillkilizwe na mkewe kabla hawajaoana iyoo ipo sana na wengine wanaangalia kama mwanamke ana nyota nzuri ambayo itakuwa mwanga kwake kwenye biashara au shughuli zake binafsi iyoo nimeiona sana kwaiyo si kwamba hawaendi wanaenda sana hasa mikoa ya pwani ya bahari hayo mambo yapo sana
Inaelekea una uelewa sana juu ya haya mambo.

Kwa pwani sina ubishi sana. Ila ukitoa huu ukanda, wanaume wa mikoani hawaendi kuongeza mahaba kwa waganga.
 
Sijakuelewa unaposema wadangaji wakina saydavio
Saydavto ni mdangaji wa kiume anayetafuta madanga ya kiume hapa mjini.

Hukusikia alichinja kondoo wakutosha na kuzika Ardhini ili yule Mkurugenzi wa Voda asimuache? Somebody mwita.
 
Sipo kwny medical field ila nafahamu kua mimba nyingi za me huaribika kuliko ke, na pia hata mortality rate (vifo vya utotoni under 3 yrs) ni zaidi kwa me kuliko ke. Ok wakishakua wakubwa vifo vya wanaume ni zaidi kwa me kama vitani wanaenda me sio ke, ajali nyingi zinawakuta me kuliko ke kulingana na utafutaji kwa mfano boda boda.,

ila pia wanaume tunajihusisha zaidi na tabia hatarishi kwa mfano ngono, uvutaji sigara, pombe za kupitiliza, ubabe wa kijinga nk.
 
Tatizo ni mfumo wa kumlea mtoto wa kiume kisingle mother single mother..hakuna ukiume ndani yake huku ukidanga huku na huko kuhakikisha maisha yanaenda pasina kuwa na weledi wa mtoto anahitaji mikiki mikiki ya kiume ili ajengeke kwenye mfumo wa kiume kama sauti nzito ya kibaba/ kiume..amri amri zisizoumashaka lakini badala yake anapokea oda nyororo...anashare vipodozi na mama, anasaidia kupika na kupakua kama kawa na wakati mwingine mama anaenda kudanga nae hivyo akili inajenga na kupokea ukawaida wa kupokea kuliko kutoa kama mfumo ulio rasmi kiuumbaji...
 
Huwa tunaenda ili kuwalainisha wale wagumu kutoa nyuchi zao,hapa kwenyewe naandika kutokea kwa mganga,Luna manzi hanielewei nataka uke wake
 
Nawasalimu wakuu wote.

Leo mchana wakati nipo kwenye daladala, nikawa nawaza kimya kimya.

Kwanini utasikia Mwanamke ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mume au mpenzi wake manjonjo asitoke kando?

Naomba nikiri, sijawahi kusikia tangu nimezaliwa, mwanaume ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mke limbwata au mapenzi yakolee, Kuna nini hapa?

Inasemekana hata hawa vijana wa kiume wadangaji ( kina saydavto, noel gio etc) ni waumini wa waganga ili kulinda madanga yao, kwanini madanga hawaendi?

Nisiwachoshe tu ningependa kufahamu kuna connection gani hapa. Ni hilo tu kwa leo.
Ushindani wa wao kwa wao kila mwanamke anataka mume na wanaume hawana time, ili kulinda asipokonywe, ni Ndumba tu ukitaka utajiri wa ghafla ni kuwa mganga ktk nyanja hizi, yeye anapewa mshahara kwa yote;

Mwanamke anasomeshewa watoto, bure, analipwa uwepo wake pale,

Anapewa machejo bure,

Nyumba bure, Akifa mume ni yake hiyo.

Ana uwezo wa kuua mme bure, hkn wa kumuuliza.

anaweza kukupa chochote kama limbwata bure, na ukawa vyovyote zezeta bila maswali.

anaweza kukuzuia usiende kazini bure!

anapika, kula na kunywa atakavyo bure,

ukienda kazini au safari anaweza tumia mchepuko wake ndani kwako buree

anacheza mchezo kwa hela ya bureeee!

anasomeshwa bure mpaka chuo kikuu halafu anakuacha hapo bure.

Analia bure, bila mume hana pa kulilia.

Nguo chakula, joto, furaha, Ulinzi,watoto, makofi, mateke, kusali, Bure MPAKA KIFO

Wanaume hawaaminiki muda wowote upepo wa kisulisuli unambeba anakwenda kwa mwingine anakuachaia koti tu hapo.
hayo yoote lazima atafute limbwata tu, hata km ni mimi lazima nikukomeshe, nikuvune mpaka ukome.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom