Stopper3
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 625
- 1,030
Kwani mwanamke anahonga?Na mwanamke akiwa na pesa, uchawi wake upi?
Kwani mwanamke anahonga?Na mwanamke akiwa na pesa, uchawi wake upi?
Wapo ambao wanahonga mkuu.Kwani mwanamke anahonga?
Hapo Vumbi la Congo aka Mundende aka Puturu na Heshima ndio itakuwa Limbwata kwake.Mwanamke akiwa na pesa kuliko mwanaume wake inakuwaje?
Ukiweza kujua shetani aliongea nini cha ziada na Eva, ndo utajibu hili swali.Nawasalimu wakuu wote.
Leo mchana wakati nipo kwenye daladala, nikawa nawaza kimya kimya.
Kwanini utasikia Mwanamke ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mume au mpenzi wake manjonjo asitoke kando?
Naomba nikiri, sijawahi kusikia tangu nimezaliwa, mwanaume ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mke limbwata au mapenzi yakolee, Kuna nini hapa?
Inasemekana hata hawa vijana wa kiume wadangaji ( kina saydavto, noel gio etc) ni waumini wa waganga ili kulinda madanga yao, kwanini madanga hawaendi?
Nisiwachoshe tu ningependa kufahamu kuna connection gani hapa. Ni hilo tu kwa leo.
Inaelekea una uelewa sana juu ya haya mambo.Nitofauti sana labda hujawai kuona au kusikia ila wanaume wao pia wanaenda ila wengi wanaenda kuweka ulinganifu wa nyota au kushusha nyote ya mkewe kama ni Kali kuliko yake ili aweze kumhandle au asillkilizwe na mkewe kabla hawajaoana iyoo ipo sana na wengine wanaangalia kama mwanamke ana nyota nzuri ambayo itakuwa mwanga kwake kwenye biashara au shughuli zake binafsi iyoo nimeiona sana kwaiyo si kwamba hawaendi wanaenda sana hasa mikoa ya pwani ya bahari hayo mambo yapo sana
Saydavto ni mdangaji wa kiume anayetafuta madanga ya kiume hapa mjini.Sijakuelewa unaposema wadangaji wakina saydavio
Hapo Vumbi la Congo aka Mundende aka Puturu na Heshima ndio itakuwa Limbwata kwake.
Hizo sio hadithi mkuu?Ukiweza kujua shetani aliongea nini cha ziada na Eva, ndo utajibu hili swali.
Waliwe tuKabisa, na wanawakula kabla ya dawa.
Huyo sio mwanaume sasa ni chogaSaydavto ni mdangaji wa kiume anayetafuta madanga ya kiume hapa mjini.
Hukusikia alichinja kondoo wakutosha na kuzika Ardhini ili yule Mkurugenzi wa Voda asimuache? Somebody mwita.
Ila ana viungo vya kiume.Huyo sio mwanaume sasa ni choga
Ha ha ha!Huwa tunaenda ili kuwalainisha wale wagumu kutoa nyuchi zao,hapa kwenyewe naandika kutokea kwa mganga,Luna manzi hanielewei nataka uke wake
Ushindani wa wao kwa wao kila mwanamke anataka mume na wanaume hawana time, ili kulinda asipokonywe, ni Ndumba tu ukitaka utajiri wa ghafla ni kuwa mganga ktk nyanja hizi, yeye anapewa mshahara kwa yote;Nawasalimu wakuu wote.
Leo mchana wakati nipo kwenye daladala, nikawa nawaza kimya kimya.
Kwanini utasikia Mwanamke ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mume au mpenzi wake manjonjo asitoke kando?
Naomba nikiri, sijawahi kusikia tangu nimezaliwa, mwanaume ameenda kwa Mganga ili kumuwekea mke limbwata au mapenzi yakolee, Kuna nini hapa?
Inasemekana hata hawa vijana wa kiume wadangaji ( kina saydavto, noel gio etc) ni waumini wa waganga ili kulinda madanga yao, kwanini madanga hawaendi?
Nisiwachoshe tu ningependa kufahamu kuna connection gani hapa. Ni hilo tu kwa leo.