Kwanini wanaume hawafanyi hivi?

Kwanini wanaume hawafanyi hivi?



Si utani, wanaume pia wanadanga hasa hawa wa jiji la makonda.

Ndio maana nimetolea mfano hapo kwenye bandiko langu.

Ila hawa wengi wao ni kina juma lokole ( chakula).
Mwingine anadaiwa boxes huko sasa sijui alikuwa akitembea chukuchuku?
 
Sasa ntaendaje kwa mganga wakati nishatengenezwa...

we unafikiri hii akili hapa ni yangu...

huu mchezo unaitwa "ataewahi ndio mshindi"
 
Hata sio kina juma,wengine wanajifunza kutia vizuri kitandani, deki la maana mahaba kama yote, utafungwa viatu yaani utalambwa kila pembe za mwili, jamaa anatengeneza mazingira ya kudanga.
Maana anajua akimkoleza mwanamke ataonewa huruma atapewa.
Wengi sana mjini hapa wanaishi kwa staili hiyo, yaani unaweza kuona mkaka amepost instagram au twitee ukasema mkaka anajituma anajielewa kumbe kazi yake kujionesha hard working kwa watu lakini really life kabisa anadanga, mdangaji.


Si utani, wanaume pia wanadanga hasa hawa wa jiji la makonda.

Ndio maana nimetolea mfano hapo kwenye bandiko langu.

Ila hawa wengi wao ni kina juma lokole ( chakula).
 
Tunajua kinachofanya mwanamke akugande. Ukiwa nacho hata mke wa mganga unaweza kumla
 
Limwbata la mwanaume ni hela tuu bro, kwa wale wadangaji wa majimama ni kiuno, uwezo wa kuishona papuchi kisawa sawa
 
Mkuu wale wenye udhaifuvkati ya jinsia hizo mbili ndio wanaenda kutafta msaada.

Wenye nguvu sikuzote wanajiamini
 
Hata wanaume nao wanaenda kwa waganga..
 
...na wengi huishia ukingoni kwa mbio zao za sakafuni,afu wanagongwa kweli na wagangaa..


Nimekuwa nikisikia malalamiko hayo.

Mganga akamwambia amgonge ili dawa ikolee, unadhani wanakataa?
 
Hata sio kina juma,wengine wanajifunza kutia vizuri kitandani, deki la maana mahaba kama yote, utafungwa viatu yaani utalambwa kila pembe za mwili, jamaa anatengeneza mazingira ya kudanga.
Maana anajua akimkoleza mwanamke ataonewa huruma atapewa.
Wengi sana mjini hapa wanaishi kwa staili hiyo, yaani unaweza kuona mkaka amepost instagram au twitee ukasema mkaka anajituma anajielewa kumbe kazi yake kujionesha hard working kwa watu lakini really life kabisa anadanga, mdangaji.
Halina ubishi hili.

Wengine wanashinda Gym kabisa ili kuvutia kina mama wenye pesa.

Hawa vijana tunawaita GIGOLOS.
 
Ukisikia mwanaume kaenda kwa mganga jua anaenda kutaka kuwa tajiri, hiyo ndio mission yetu tuliyoambiwa na Mola wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom