The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Kila Mkuu wa mkoa Dar ana kibarua cha wamachinga, why akili huwa haitumiki kabisa?
Toka Marehemu Ditopile Mzuzuri anaongea live kwenye tv DTV kuhusu kuwaondoa wamachinga .hadi Leo mambo ndo yanazidi.
Serikali inashindwaje kufanya hivi kuondoa wamachinga kwa akili.
Agiza wamachinga wote wajiandikishe manispaa. Chukua data zao zote.
Kwanza ni Ku identify bidhaa popular za wamachinga na kuangalia kama haiwezekani zikatengenezwa hapa nchini
Halafu kuangalia maduka maarufu wanako nunua hizo bidhaa na kuangalia kama maduka hayo yanaweza kubanwa kwa njia ya leseni. Mfano mtu ana duka la mitumba la jumla asiruhusiwe kumuuzia mtu ambae Hana TIN no, mauzo yote yawe kwenye systems.
Na ambae Hana location maalum ya kuuza bidhaa asiuziwe.
Au zile bidhaa kama makava ya simu na mitumba viwe na leseni yake maalum ambayo sehemu ya masharti ni kuwa na eneo rasmi la biashara.
Serikali ikifanya hivi itajikuta idadi ya wamachinga inayohitaji kuwasaidia ni ndogo kuliko iliyopo sasa
Machinga halisi ni wale wauza mihogo, wapika vyakula n.k. Hawa serikali inawatafutia maeneo wanafanya biashara bila usumbufu manake sio wengi
Lakini wale wenye mitaji ya kukodi fremu lakini hawataki sababu wanaona kuna faida zaidi kutandaza barabarani kuliko kuwa na fremu wale watungiwe sheria za kukwepa Kodi washitakiwe.
Serikali ifanye hili zoezi kiakili kuna wamachinga halisi wa kusaidiwa na kuna wafanyabiashara ambao simply wanakwepa kodi...
Uwepo mfumo wa kukusanya taarifa za kila mmachinga ili kuwachekecha na baadhi ya bidhaa serikali ipige tu marufuku kuingia nchini iwe kichocheo watanzania watengeneze wenyewe. Kuna ulazima wa kukimbizana na wamachinga wanao tandaza makava ya simu barabarani?
Kuhusu mikoa wanayotoka Originally wamachinga walikuwa wauza mitumba barabarani na wengi walitoka mikoa ya kusini hasa wilaya ya mchinga. Ingawa siku hizi wamachinga wanatoka mikoa yote na wapo wengi wenye elimu ya chuo kikuu. Kuchukua data serikali itapata jibu.
Mfano ukigundua kama wamachinga wenye elimu ya chuo kikuu wengi wamesomea taaluma fulani. Mfano sociology, unakaa chini kujiuliza kama kuna ulazima kwa vyuo vyetu kuendelea kutoa graduates wengi wa taaluma hizo ambazo zinazalisha wamachinga.
Kukusanya data kutasaidia sana kujua mambo mengi.
Hili suala la wamachinga Hadi aje mtu wa kuli-solve kiakili vinginevyo kila Mkuu wa mkoa Dar na mikoa mingine kibarua hiki kinawasubiri.
Toka Marehemu Ditopile Mzuzuri anaongea live kwenye tv DTV kuhusu kuwaondoa wamachinga .hadi Leo mambo ndo yanazidi.
Serikali inashindwaje kufanya hivi kuondoa wamachinga kwa akili.
Agiza wamachinga wote wajiandikishe manispaa. Chukua data zao zote.
- Wametokea wapi? Mikoa ipi?
- Bidhaa wanazouza wananunua wapi?
- Maduka yapi?
- Mitaji Yao iko kiasi gani?
- Maeneo wanayouza yana sifa ipi?
Kwanza ni Ku identify bidhaa popular za wamachinga na kuangalia kama haiwezekani zikatengenezwa hapa nchini
Halafu kuangalia maduka maarufu wanako nunua hizo bidhaa na kuangalia kama maduka hayo yanaweza kubanwa kwa njia ya leseni. Mfano mtu ana duka la mitumba la jumla asiruhusiwe kumuuzia mtu ambae Hana TIN no, mauzo yote yawe kwenye systems.
Na ambae Hana location maalum ya kuuza bidhaa asiuziwe.
Au zile bidhaa kama makava ya simu na mitumba viwe na leseni yake maalum ambayo sehemu ya masharti ni kuwa na eneo rasmi la biashara.
Serikali ikifanya hivi itajikuta idadi ya wamachinga inayohitaji kuwasaidia ni ndogo kuliko iliyopo sasa
Machinga halisi ni wale wauza mihogo, wapika vyakula n.k. Hawa serikali inawatafutia maeneo wanafanya biashara bila usumbufu manake sio wengi
Lakini wale wenye mitaji ya kukodi fremu lakini hawataki sababu wanaona kuna faida zaidi kutandaza barabarani kuliko kuwa na fremu wale watungiwe sheria za kukwepa Kodi washitakiwe.
Serikali ifanye hili zoezi kiakili kuna wamachinga halisi wa kusaidiwa na kuna wafanyabiashara ambao simply wanakwepa kodi...
Uwepo mfumo wa kukusanya taarifa za kila mmachinga ili kuwachekecha na baadhi ya bidhaa serikali ipige tu marufuku kuingia nchini iwe kichocheo watanzania watengeneze wenyewe. Kuna ulazima wa kukimbizana na wamachinga wanao tandaza makava ya simu barabarani?
Kuhusu mikoa wanayotoka Originally wamachinga walikuwa wauza mitumba barabarani na wengi walitoka mikoa ya kusini hasa wilaya ya mchinga. Ingawa siku hizi wamachinga wanatoka mikoa yote na wapo wengi wenye elimu ya chuo kikuu. Kuchukua data serikali itapata jibu.
Mfano ukigundua kama wamachinga wenye elimu ya chuo kikuu wengi wamesomea taaluma fulani. Mfano sociology, unakaa chini kujiuliza kama kuna ulazima kwa vyuo vyetu kuendelea kutoa graduates wengi wa taaluma hizo ambazo zinazalisha wamachinga.
Kukusanya data kutasaidia sana kujua mambo mengi.
- Mikoa ipi inazalisha wamachinga?
- Kwa nini?
- Shule zipi?
- Vyuo vipi?
- Wafanyabiashara wakubwa wanao wakopesha baadhi yao hizo bidhaa.
- Wanalipia kodi stahiki?
- Je, Sera za serikali zinazalisha wamachinga? Kodi nyingi kwa bidhaa za ndani na Kodi kidogo kwa wanao agiza?
Hili suala la wamachinga Hadi aje mtu wa kuli-solve kiakili vinginevyo kila Mkuu wa mkoa Dar na mikoa mingine kibarua hiki kinawasubiri.