reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 11,900
- 27,922
Ndo shida lipo hapo vizimba Vingi havina machinga wapo wakubwa au wake zao!mfano machinga complex pale vingi machinga wamekodishwa wamiliki wanakula posho na ni vigogo tu!Mtoamada! Nimependa hii ndio mana nina wazo kwamba hili suala likifanyika hivi miez 3 mbele watatulia lakin haifiki mi5 watarudi tena barabarani. Mbaya zaid wakijenga masoko nani ana uhakika waliojengew hayo masoko watapata!? Utakut mwanajeshi mmoja kachukua vizimba 7 kaajir wat ambao ukiwakagua utakuta kweli wamachinga