Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Oscar Lyrics

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
2,732
Reaction score
4,651
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Hii ni kweli aisee.
Mwalimu anafanya kazi na kuridhika na hatima yake.

Ndio maana hata watoto wao wanakuwa poa sana kimaadili sio wote lakini.

Mwalimu anafanya kazi kuanzia saa moja na nusu hadi saa nane mchana. Anarudi nyumbani.

Jumamosi na jmapili anakuwa na familia yake. Siku zote za holiday za kitaifa na za mikutano ya ccm anakaa nyumbani.

Mwl anauhakika wa kula na kulala maisha yake yoote.

Hana presha.
 
Hii ni kweli aisee.
Mwalimu anafanya kazi na kuridhika na hatima yake.

Ndio maana hata watoto wao wanakuwa poa sana kimaadili sio wote lakini.

Mwalimu anafanya kazi kuanzia saa moja na nusu hadi saa nane mchana. Anarudi nyumbani.

Jumamosi na jmapili anakuwa na familia yake. Siku zote za holiday za kitaifa na za mikutano ya ccm anakaa nyumbani.

Mwl anauhakika wa kula na kulala maisha yake yoote.

Hana presha.
Kweli kabisa mkuu
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Upelelezi haujakamilika.
 
download (1).jpeg
 
Back
Top Bottom