Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Tuwe wakweli wapendwa tusipige tukelele za ooh wauwaji wa albino
Kuna wauwaji wakubwa wako kwenye mahakama!! Hawa ndio walioleta ongezeko la haya mauwaji!! Samahani kama ni jaji! Najiuliza jaji mkuu. Kwanini leo mtangaze hukumu ya mauwaji kwa wauwaji wa albino since 2008, kwanini msianze kunyonga waliokuwa wapelelezi wa hii kesi kwanza!! Hawa wamekuwa wakila hela za matajiri huku wakidai uchunguzi unaendelea hata jaji mkuu unajua hilo hakuna kuficha
Why rais akutane na maalbino ndio mnatangaza jajiment za kihuni mnahisi watanzania wote ni mabwege!! Jajin mkuu hawa wanaochelewesha kesi za albino anza kunyonga hawa kwanza!! Mi ningekuwa hakimu ningetangaza na kifo kwa waliokuwa wachunguzi wa hii kesi!!!
Nenda mahakama kuu! Nendaa mahakama za kazi wanacheza na mifuko ya watu easy ati uchunguzi haujakamalika, unakamalika lini!! So mazoea yale yanafanywa hata kwa mambo muhimu kama haya kuua albino!! Nasema nyongeni mpelelezi anaechelewesha kesi za albino muone majaji watakovyo hukumu haraka
Kuna wauwaji wakubwa wako kwenye mahakama!! Hawa ndio walioleta ongezeko la haya mauwaji!! Samahani kama ni jaji! Najiuliza jaji mkuu. Kwanini leo mtangaze hukumu ya mauwaji kwa wauwaji wa albino since 2008, kwanini msianze kunyonga waliokuwa wapelelezi wa hii kesi kwanza!! Hawa wamekuwa wakila hela za matajiri huku wakidai uchunguzi unaendelea hata jaji mkuu unajua hilo hakuna kuficha
Why rais akutane na maalbino ndio mnatangaza jajiment za kihuni mnahisi watanzania wote ni mabwege!! Jajin mkuu hawa wanaochelewesha kesi za albino anza kunyonga hawa kwanza!! Mi ningekuwa hakimu ningetangaza na kifo kwa waliokuwa wachunguzi wa hii kesi!!!
Nenda mahakama kuu! Nendaa mahakama za kazi wanacheza na mifuko ya watu easy ati uchunguzi haujakamalika, unakamalika lini!! So mazoea yale yanafanywa hata kwa mambo muhimu kama haya kuua albino!! Nasema nyongeni mpelelezi anaechelewesha kesi za albino muone majaji watakovyo hukumu haraka