Huyu si ndo yule aliyesema atagombea ubunge Mafia 2010? Maybe ndo anaanza kupiga kampeni kwa wapiga kura wake; kwamba amepanda ndege na kukuta wahudumu wa jinsia ya kike!Angalia thread za huyu mwenzetu hata anavyojiita mzee wa hoja sijui hoja zenyewe ndio zipi, ...
Wewe ni malaya mkubwa na ndiyo maana hata shirika hilo la ndege linajaribu kuwatega kwa kuwaweka wanawake ili mtegeke kwa nyie malaya.
wewe unachotakiwa ni kupata huduma inayostaili,halafu inaonekana ndiyo mara yako ya kwanza kupanda ndege au unasikia tu,ndiyo maana huna uhakika unapokwenda.
kwa ujinga wako utakuja kesho na mada nyingine ya kuwa kwa nini masecretari,wahudumu wa baa na hotel,mahousegirl,wafagiaji barabarani n.k kwanini ni wanawake.
Halafu sehemu hii uliyopost hii mada siyo pake,kama mgeni angalia madokezo unapofungua jf.
Mambo ya precision hayo wanakupa beer hadi basi....thank you guyz
gOBU uMEPOTOKA, HATA PICHA YAKO ULIOWEKA HAPO INAONYESHA WEWE NI MDINI SANA NDIO MAAN UKAWEKA HIYO PICHA YAKO HAPO.Huyu si ndo yule aliyesema atagombea ubunge Mafia 2010? Maybe ndo anaanza kupiga kampeni kwa wapiga kura wake; kwamba amepanda ndege na kukuta wahudumu wa jinsia ya kike!
Tu forward case hii kwa Mh Six kwamba huyu bwana katumia lugha isyo ya kiungwana je tumfanyeje?😀Grader,
That was not necessary! jf community deserves an apology from you