saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.
Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.
Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.
Hata Senior Journalist Pascal Mayala, hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.
Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.
Hata Senior Journalist Pascal Mayala, hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?