Si muende mkafanye kazi huko, kwanini mnatupigia kelele, tuna mambo mengi ya kushuhulikia ikiwa ni pamoja na kupambana na athari za mafuriko.Ok.Kwa nini wao wawe na nyongeza na Tanganyika hawana.
NB;Vumilia neno Tanganyika.
Si muende mkafanye kazi huko, kwanini mnatupigia kelele, tuna mambo mengi ya kushuhulikia ikiwa ni pamoja na kupambana na athari za mafuriko.Ok.Kwa nini wao wawe na nyongeza na Tanganyika hawana.
NB;Vumilia neno Tanganyika.
siku mkiacha kutaja neno Tanzania bara mkajiita Watanganyika mtaongezewa,zanzibar ni taifa linalojitambua na kuendesha mambo yake bila kubughudhiwa na yeyoteWatanzania mjue jambo moja tu.
Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo.
Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo.
Raisi Samia angalia hili
Sio kweli wengi wenu watanganyika ni mbumbumbu katika kuufahamu muungano hebu angalia hata huyo mleta mada na hao wachangiajiNdugu yangu sisi watanganyika tupo wengi tu wenye akili tatizo ni viongoz wa ccm wenye mamlaka,tunafanyaje?hadi tutakapowaondoa madarakani
Watanganyika tunabaguliwa sana yaani sana yaani sana
Mishahara Zanzibar ya wafanyakazi wa Serikali midogo kuliko Bara .Kwani Zanzibar na Tanganyika ni sawa?Hizo ni nchi mbili tofauti kabisa.Ni kweli ulikuwa haujui hadi nimekueleza?
Hao watanganyika wengi wao ni mbumbumbu katika masuala ya muungano wala hawajui kama kuna mamlaka mbili ya Zanzibar na ya muungano wao wamekalia ubishi tumkuu sasa hapo mumebaguliwa vipi?
Watu kama hao wanaitwa mbumbumbu watakuchosha bureZanzibar ni nchi. Wana katiba yao. Wana Rais wao, wana Bunge lao .... hivi nini kigumu kuelewa hapa.... Kweli Lissu atapata shida sana kuwaelimisha Watanzania.
Kwahiyo kwa akili zako ukipewa essay juu ya ufukara Tanganyika point #1 ni eneo kubwa la kijiografia na point #2 ni idadi kubwa ya wananchi!!!Una uhakika?
pia ukumbuke na population ya Tanzania, ukilinganisha na nchi ya Zanzibar.
Nilimaanisha midogoMishahara sana ndo nini mkuu?
Hujaeleweka. Ama kuna neno hapo kati umelisahau, na ukiliweka ndo utaeleweka umesimamia upande gani.
Kwa hiyo ndiyo maana wamepewa 50000/=ya usafiri?Mishahara Zanzibar ya wafanyakazi wa Serikali midogo kuliko Bara .
Acha uzumbukuku wewe!Tangu lini mwandiko uliwahi kumpigia mtu kelele?Tunajadili mambo ya kiutu uzima.Wewe katoto ukacheze na wenzio.Si muende mkafanye kazi huko, kwanini mnatupigia kelele, tuna mambo mengi ya kushuhulikia ikiwa ni pamoja na kupambana na athari za mafuriko.
Basi tupewe huo mchanganuoKatika mshahara unaolipwa, nauli ipo ndani yake ni vile haujapewa mchanganuo...
Umejibu kama umevimbiwa urojo vile?Sio
Ukubwa pua sio wingi wa Kamasi unaifananisha Zanzibar na temeke ? Mwambieni basi huyo Raisi wa temeke awape na nyinyi posho ya nauli pole sana