Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,472
- 21,953
- Thread starter
- #61
Itakukuwa ni nyakati za kutapeli watu hizi, Wachungaji wanahudumu kama waganga wa kienyeji tu, utasikia "andika funguka ili upate mchongo" hii sio injili ya Yesu aisee
Mahitaji ya nyakati