Hahahaaaa.........lkn uaminifu unaanza na kidogo ulichonachomifumo kwa wenzetu angalau inaeleweka na kama mtu ni tajiri basi ni tajiri haswa
huku kwetu mambo mda wowote yanabadilika
unatoa msaada leo kesho unaanguka hakuna anayekuangalia mara mbili
hivyo mtu anaona alichonacho bora aendelee kukitumia na familia yake tu