Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

a marriage between a Jew and a non-Jew is both prohibited and also does not constitute a marriage under Jewish law.
 
Unataka kuoa mwanamke wa Kiarabu?
Hivi, mwanamke wa Kiarabu au Mhindi au Mzungu ana nini cha zaidi katikati ya miguu yake kumzidi Mwanamke wa Kimbulu kutoka Manyara au Mnyakyusa kutoka Rungwe?

Amini nakwambia, hakuna cha ziada walichonacho hao Waarabu. Bucha tofauti lakini "nyama" ni ile ile.
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani
Njoo huku maganzo mabinti wa kiarabu wa kumwaga
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani
Mkuu hili suala ni rahisi sana kulielewa

Jamii zetu zote ulimwenguni zinaundwa katika ‘Hierarchical Order’ kuna watu wa hadhi ya juu, ya kati na ya chini.

Kisaikolojia tunaambiwa kuwa wanawake wana kawaida ya kuolewa na wanaume wa daraja la juu kuwazidi, yani ME walowazidi kipato, maarifa n.k isipokuwa kwa kesi za nadra.

Wanaume wana kawaida ya kuoa KE walio katika daraja sawa kimaisha au walio chini yao. Isipokuwa kwa kesi maalum.

Katika jamii zetu tunaona waarabu ni watu walio na ahueni kiuchumi na waswahili wengi wana hali mbaya kiuchumi, hivyo inakuwa nadra kwa ME wa kiswahili kuoa KE wa kiarabu kwa sababu hiyo ya madaraja.

Na ME wa kiarabu ni rahisi kuoa KE wa kiswahili pia kwa sababu hizo hizo.

Kwa bahati mbaya kanuni hii si kwa waarabu tu bali kwa watu wote.

Ushauri: Kama unataka kuoa KE wa kiarabu dini haitoshi kutimiza azma yako, jikomboe kiuchumi kisha nenda kapose.
Wenzetu wanawekeza sana kwa watoto wao, pata picha binti kasomeshwa Feza intl’ School toka chekechea mpaka ngazi ya Uzamili…. Halafu hapo ajae aolewe na mtu hohehahe kweli? Hata ungekuwa ni wewe ungekubali kuona hatma ya binti yako inakuwa hivyo?

Lakini ni lazima tutambua kuwa kuna kesi maalum (special cases) ambapo ME fukara huoa binti tajiri.
 
Kwan dini ya kiislam inasema nn kuhsu usawa?
Mwarabu huwa hamtambui mwafrika kuwa ni muislamu 100%. Anamchukulia km mtu aliyesilimu akaingia kwenye hiyo dini.
Maana waraabu wenyewe kwenye uislamu wapo washia na wasuni ila wafrika hawapo kwenye kundi lolote.
Ndiyo maana mwarabu akimsaidia mwafrika atamjengea msikiti, kisima, kumpa tende na haluwa
 
huna maadili mazuri huwezi kuoa mwarabu , ukibanwa mkojo unakojolea kwenye chupa unatupa barabarani, ukipata pesa unataka utambe dunia yote ikutambue uvae macheni hereni tatoo. ukiwa na gari muziki upige barabara yote wakusikie , ukifingua biashara unaweka spika nje inaongea kuita wateja asubuhi mpaka jioni uliona mtu mweupe kwenye biashara zake kafanya upuuzi huo, miudo mbinu mnavunja , maisha ndani ya nyumba dhki hata kama unapesa maadili tofauti, wewe ungeuliza kwanini mungu hakuchagua nabii hata mmoja mwafrica wote ngozi nyeupe?
 
huna maadili mazuri huwezi kuoa mwarabu , ukibanwa mkojo unakojolea kwenye chupa unatupa barabarani, ukipata pesa unataka utambe dunia yote ikutambue uvae macheni hereni tatoo. ukiwa na gari muziki upige barabara yote wakusikie , ukifingua biashara unaweka spika nje inaongea kuita wateja asubuhi mpaka jioni uliona mtu mweupe kwenye biashara zake kafanya upuuzi huo, miudo mbinu mnavunja , maisha ndani ya nyumba dhki hata kama unapesa maadili tofauti, wewe ungeuliza kwanini mungu hakuchagua nabii hata mmoja mwafrica wote ngozi nyeupe?
Kwahio mungu wenu huyo alibagua watu aliowaumba mwenyewe? Anhaa sawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani
Sio kweli mkuu
Katika binadam wanaochanganya damu kwa kasi ni hawa waarabu fatilia

Machotara ni wengi sana

Lakini ishu ni kukuta muhindi na mwafrika hiyo utasubiri sana
 
Akili za mtu mweusi zipo kuhisi kuonewa tu. Mtu umepauka lakini unataka eti kuoa mtoto wa mtu ambaye hata shida hazijui kisa dini? Mwanamke kwa mujibu wa dini ya Kiislam anahitaji kupewa ulinzi, makazi, chakula na mavazi, Sasa ndugu zetu nyinyi hamtaki kutafuta hela ila mnalazimisha kuoa kwa waarabu eti kisingizio ni dini. Wapo watu wameoa waarabu tena bila shida.
Ukitaka waarabu tu nenda hata Palestine, Syria wapo, ila kama unataka Bakhersa na wa aina yake wakuozeshe wewe kapuku unakosea, Hata kina Kikwete, Kimei, Mwinyi, Makame, Mengi hawawezi kukupa watoto wao kama wewe ni hohehahe
Akili za mtu mweusi zipo kuhisi kuonewa tu
 
Inawezekana mambo mawili ndio yanakumbua
Kwanza fikra kwamba niwabaguzi jambo ambalo hata baina yetu waafka au watanzania kuna makabila yanadharaulika
Pili nihali ya kiuchumi. Ukiwa huna hela unaweza ukaogopa ukoo flani au kabila fulani kutokana na kipato chao. Hivyo sio kweli kama mtu ambae kwao kuna mboga tano familia iridhie aolewe na jamaa zake Lema au mpiga debe
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani
Wabaguzi nambari 1 dunia waarabu halafu wanafuatia wahindi.. hutaki kula nyembe ila mie ndio ninavyoona na uhenga wanga .
 
Waarabu ni wabaguzi wakubwa sana. Mbaya zaidi wameteka akili za baadhi yetu kwa kuwapa tende, halua na futari wakati wa mfungo badala ya kuwapa elimu
Siongei sana Dubai baada ya mafuriko waendelee kuwatetea baada ya hii 👇 👇 👇 👇 👇 👇
 

Attachments

  • m2-res_854p (3).mp4
    2.3 MB
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani
Asia yote jawataki.
 
Back
Top Bottom