Sawa kabisa lakini uyu Jamaa anasema ivi chukua chupa weka maji na toboa matobo kadhaa ambayo yataruhusu maji kutoka nje, ile chupa ukiwa umeishika itamwaga maji lakini ukiidondosha maji hayatamwagika mpaka itakapo tua chini ndo maji yataanza kumwagika Tena.Sikusoma sana Physics.Ila naweza kusema,Chochote chenye mass?/density kubwa kuliko air kitadongoka kuja chini kwa sababu hakutakuwa na resistance itayokizuia kielee angani..
Rejea msingi wa mada. Usiulize maswali ya kitoto na yasiyo na haja.Chini ni mahali gani??
Nilichomuekewa mtoa mada ni kuwa amerejea maelezo ya Newton kwa kuhusisha na force of attraction ya Newton, ila hakuweka neno stahiki, lakini anaeleweka, yaani kwa ufasaha ni kuwa "Kwanini vitu vikirushwa kwenda juu hurudi chini pindi vikiwa huru hila kizuizi chochote".
Kuna vitu vingine laiti kama tungekuwa tunafikiria tungehitimisha ya kuwa wanasayansi hasa wa fizikia walikuwa wazembe na wapenda "shortcut" sana na kuna vitu vingine vilikuwa havina haja ya kujiuliza na hatimae wakaweka "Assumptions" kibao ili kanuni zao zikubali, huku walishindwa pakubwa mno.
Sababu iko wazi kabisa kitu lazima kirudi kilipo toka endapo,huka sababu ya kukifanya kisirudi chini.
Umepiga hesabu za F=Ma lakini naona umesahau kabisa mambo ya Potential Energy F=mghKwanini vitu vinadondoka?
Hili swali kwa muda mrefu nilikua nalichukulia poa (take for granted) lakini sasa nakili kuwa ni moja kati ya maswali magumu zaidi kuwahi kuulizwa na binadamu.
Ukiacha Programming kitu kingine ninachokipenda ni Modern Physics, nasoma basics tu niweze kuelezea ulimwengu ninao interact nao kila siku baada ya Computer
So nilikua naamini kabisa kuwa naweza kuelezea kwanini vitu vinadondoka? Kwanini jiwe linarudi chini ukilirusha juu?
Kwanini apple linaanguka juu ya mti?
Isaac Newton alitupa Formula sahihi(kiasi) ila maelezo ya "uongo" kuhusu kwanini vitu vinadondoka
Kwa mujibu wa Sir Isaac Newton, jiwe linadondoka kwasababu kwasababu ya nguvu ya uvutano kati yake na Dunia. nguvu hii ya uvutano ndiyo inayofanya jiwe livutwe chini kwa kasi ya mita 9.8 kwa kila sekunde ya kila sekunde (acceleration due to gravity)
Na hayo maelezo ya uongo nimekua nikiyaamini mpaka hapo juzi nilipopata nafasi ya kujifunza General Relativity. Na nilichogundua ni kuwa, siwezi tena kuelezea kwa nini jiwe au kitu chochote kinadondoka
Naamini kuna watu smart humu waliosoma General Relativity au kuielewa, wanaweza kutuelezea kwanini vitu vinaanguka..
Kwanini Newton hakua sahihi?
Newton hakua sahihi kwa sababu hii
Imagine umeshika chupa iliyojaa maji (umeinyanyua)
ukiachia hii chupa, itandondoka chini sio?
Hapana, chupa haitondondoka
Chupa haitondoka kwasababu hakuna nguvu yoyote inayoivuta hio chupa. Ku prove hili, tutoboe matundu mawili katikati ya hio chupa
Kipindi tumeishikilia (maji yatamwagika chini kupitia yale matundu) ila tutakapo iachia maji hayatomwagika tena hata kama chupa ina matundu. so hakuna force yoyote inayovuta yale maji tena.
Kwa mjibu wa Newton first law of motion, hii chupa itaganda pale pale kwasabau kama F=ma , m=mass ya chupa ya maji , a= acceleration na F= 0 (kwasababu hakuna nguvu yoyote inayoivuta) basi a=0 (haitodondoka)
kumbuka m > 0 (chupa always ina mass)
Sasa swali linabaki kwanini hii chupa tunaiona ikishuka kutoka juu mpaka chini?
Au kwanini vitu vinaonekana kudondoka?
UPDATE:
Wazee naona kama baadhi hamjaelewa swali au lengo la huu uzi
Swali ni hili "Kwanini vitu vinadondoka?"
NOTE: usitumie classical mechanics kujibu hili swali thus why nimeanza kuonyesha hapo juu kwanini classical mechanics haiwezi kujibu swali hilo
Sahihi kabisa, na ndiyo maana baadhi tulikaa kimya alikuja na mada nzuri ila namna anavyodhihaki siyo poa haya mambo tunapeana knowledge ili kila mmoja aongeze alichonacho.Huu ni uonezi tu. Physics tuliyosoma advance haikucover haya mambo na unajua Tz hatusoamgi haya labda kwa mtu mwenye interest nayo. Sasa kuja hapa na kuwananga wwtu kuwa vilaza, hawaelewi, IQ ndogo unakuwa siyo uungwana.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sijajua kwanini hii mada ni ngumu sana kuelewekaSawa kabisa lakini uyu Jamaa anasema ivi chukua chupa weka maji na toboa matobo kadhaa ambayo yataruhusu maji kutoka nje, ile chupa ukiwa umeishika itamwaga maji lakini ukiidondosha maji hayatamwagika mpaka itakapo tua chini ndo maji yataanza kumwagika Tena.
Pia anasema tuachane na mechanics physics kuelezea hili ila tutumie general relativity. Sasa hapo ndo anataka utoe maelezo bila kuhusisha gravitational force., Acceleration due to gravity.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea msingi wa mada. Usiulize maswali ya kitoto na yasiyo na haja.
Yeye katumia neno, " vitu vinaonekana kudondoka" anasema kiuhalisia havidondoki.
Usiulize maswali ya kitoto na yasiyo na haja, rejea msingi wa mada.Looo!!, chini inamaana juu ya uso wa dunia??
Usiulize maswali ya kitoto na yasiyo na haja, rejea msingi wa mada.
Sasa ndiyo usichezee mchanga ukachafuka, mama asije kukuchapa. Tulia.Mimi ni mtoto kwani wewe hujui??🤣
Unaweza kuandika maandiko yako maalum kuhusu kuikosoa theory hii, maana unavyotaka ikupe majibu ambayo aidha hayapo kimaandishi au hayajagunduliwa bado, jua una golden chance ya kuwasilisha maandiko yako.Sijajua kwanini hii mada ni ngumu sana kueleweka
Nilichotaka kuelezea katika huo mfano wa "chupa ya maji" na "mtu ndani ya elevator inayo appear kudondoka" ni msingi wa "Equivalent Principle"
Kama utaelewa "Equivalent Principle" basi itakua rahisi kurudi kwenye swali langu ni kunisaidia kujibu
Ni hivi, "inertial frame of reference ni frame of reference ambayo haipo subjected na force yoyote ile"
Ni aidha ipo stationary au inasafiri kwa uniform velocity
Kwa case ya "chupa au mtu anayeanguka kwenye elevator"
Vyote hivi vipo kwenye inertial Frame of references
Hakuna force yoyote inayo act pale
There is no pull of gravity wala acceleration due to gravity
So tunahitaji different explanation for how "things appear to hit the ground"
Kwanini tunaona vinaanguka?
Hivi haya unayoaandika hapa yanatoka kichwani tu au ulifanyia tafiti?Vitu Vinadondoka, mfano weka jiwe kwenye manati na uvute manati na ufyatue, jiwe likirushwa/likiruka kwenda mbele mtu atasemaje kiuhalisia kwamba jiwe halikuruka???!! --- hiyo mipira ya manati ime apply force kwenye hilo jiwe jinsi force ya gravity inapofanya vitu vidondoke juu ya uso wa dunia.
Hiyo inayo apply hapo kwenye vitu vidondokavyo ni universal LAW of gravitation na sio General THEORY of relativity.
The General theory of relativity, Einstein alijaribu kuonyesha Mechanism ya Gravitation kwani Universal law of gravitation haielezi hiyo mechanism inafanyaje kazi na ndiyo maana Einstein akaja na "space curve and mass depiction" kufafanua jinsi AONAVYO hiyo gravitation inavyofanya kazi (mechanism).--- hivyo General relativity bado ni nadharia tu na itabaki hivyo hadi atokee mtu na a prove experimentally au mathematically ili iwe Sheria (law) kitu ambacho watu hatuzingatii.
Huu sio utafiti wanguUnaweza kuandika maandiko yako maalum kuhusu kuikosoa theory hii, maana unavyotaka ikupe majibu ambayo aidha hayapo kimaandishi au hayajagunduliwa bado, jua una golden chance ya kuwasilisha maandiko yako.
Kama yakionekana yanafaa zaidi, huenda yakapitishwa kwenye majopo ya wanasayansi nchini, Afrika na hata duniani, coz wapo wenzio wanaendelea kuendeleza theory of 8th dimensions (Theory of Everything)
Nadhani kadri unavyozidi kukomaa deeper, ni rahsi ukajikuta upo peke yako kwenye utafiti wako.
Charlii.
Hivi haya unayoaandika hapa yanatoka kichwani tu au ulifanyia tafiti?
Wewe unafikiri General Relativity haijawa "tested" Experimentally?
au haina real world applications
Hakuna "Gravitational force" wala "universal law of gravitation"
Modern physics ime "fix" hizo flaw zote za Newton na Classical mechanics
Chukua mda wako upate hata misingi ya Modern physics the uje hapa u comment
The reason why "Classical description ya Gravitation na Newton Mechanics" bado inafundishwa "O level" au "A level" ni urahisi wake na kwa kiasi ipo "valid" kwa every day calculations
Once umefika juu,kuna paradigm nyingine tofauti
Na MTU akiandika hivi...mnasema kawadharau...
Universal law of gravitationalVitu Vinadondoka, mfano weka jiwe kwenye manati na uvute manati na ufyatue, jiwe likirushwa/likiruka kwenda mbele mtu atasemaje kiuhalisia kwamba jiwe halikuruka???!! --- hiyo mipira ya manati ime apply force kwenye hilo jiwe jinsi force ya gravity inapofanya vitu vidondoke juu ya uso wa dunia.
Hiyo inayo apply hapo kwenye vitu vidondokavyo ni universal LAW of gravitation na sio General THEORY of relativity.
The General theory of relativity, Einstein alijaribu kuonyesha Mechanism ya Gravitation kwani Universal law of gravitation haielezi hiyo mechanism inafanyaje kazi na ndiyo maana Einstein akaja na "space curve and mass depiction" kufafanua jinsi AONAVYO hiyo gravitation inavyofanya kazi (mechanism).--- hivyo General relativity bado ni nadharia tu na itabaki hivyo hadi atokee mtu na a prove experimentally au mathematically ili iwe Sheria (law) kitu ambacho watu hatuzingatii.