Swali langu nimeuliza hivi hivi tangu mwanzo
Nilichofanya ni kukupa maelezo marefu ya kitu hicho hicho
Bado hujajibu "kwanini vitu vinaonekana kudondoka?"
Halafu usitumie hii dhana potofu kuwa "Hii bado ni theory"
Most of what we know kuhusu ulimwengu tumetoa from the theories
Thus why huwa zinakuwa replaced na better theory as time goes on
Lakini hio haindoi uwezo wa "theory" Ku "explain" na "Ku predict"
General Relativity ni "theory" ila imeweza kuelezea "Oribit ya mercury" na Ku "predict" uwepo wa "Gravitational waves"
Swali bado lipo pale pale "kwanini vitu vinaonekana kudondoka?"
Siwezi mkuuHaya sio mawazo yangu..
Unaweza kunielezea kwanini vitu vinaonekana kudondoka?
Hivi mnasomaga kwanza kabla ya Ku reply?Architect mwenyewe kaiita hiyo General relativity ni theory wewe nani upingane naye??.
Sasa na wewe tuambie "kudondoka" ni kitu gani??, kabla ya kuingia kwenye swali lako la kwanini vitu vinaonekana kudondoka.
Mfano, Kwanini gari inaonekana kutembea, kutembea ni nini??
Kitu kinachochanganya hapa ni Ku assume existence ya Gravitation ili kuelezea GravitationMkuu mimi ni kilaza tu wa haya makitu niliyakimbiaga kitambo olevel
Sijawahi kuisikia hiyo theory yako na wengi wetu humu labda ndio tunaanza kuisikia............Kama ya Newton yenyewe ilituchanganya darasani itakua hii umeigusia tu hapa
Labda aje mjuzi anayielewa
Lakini......
Kama law ya Newton inasema vitu vinavutwa chini na gravity, na hii chupa ikiwa imeshikiliwa huoni kwamba ina maanisha ukitoboa chupa maji yatapata pakuvutwa na na hiyo gravity?
Na unapo iachia chupa itamaanisha sasa maji na chupa vyote vina vutwa na gravity kwenda chini.......kwa muktadha huo inamaana sasa gravity haita vuta tena maji kupita matundu ya chupa kwakuwa chupa na maji vyote sasa vinavutwa chini
Hapa twende ki layman layman kama itawezekana
Wewe unatumia hoja gani kwamba kwakuwa maji yanaacha kutoka kwenye matundu kuhalalisha hayavutwi na gravity?
Hatuwezi kuikwepa kuirejea gravity kwasababu ndio inayojulikana kwa sasa
Kwa mujibu wa Newton mvuto wa kwenda chini unategemea na uzito wa kitu mfano wa lift iwapo lift itafeli na kuanza kuvutwa kwenda chini itategemea ndani ya lift kuna nini
Kama kuna vitu vyepesi kuliko lift inamaana kadiri umbali ulivyo ndivyo hivi vitu vitaonekana vinaelea kwenye lift kwasababu lift itavutwa kwa speed kubwa kuliko vitu vyepesi
Na ikiwa ndani ya lift kuna vitu vizito kuliko lift basi vitaongeza speed ya lift kwenda chini na havitaonekana kuelea
Sioni ni wapi huu mfano wako unapingana na law ya Newton
Nisaidie kuelewa ni nini kilipaswa kutokea kwa mujibu wa mifano yako ili sasa kuthibitisha gravity ipo
Muulize swali kwanza kuwa hiyo anayosema "general relativity" inasemaje?Ok, Maelezo marefu lakini namwamini Newton kuliko wewe.
Finally nimepata mtu atakaye nielewaNewton Hesabu zake zilikua sawa katika kuelezea gravity (Predict), ila alishindwa kueleza gravity ni kitu gani. Einstein aliweza kuelezea what is gravity using idea that massive objects bends space time fabric, ni concepts ambazao zipo beyond scope of average physics students.
Hivi mnasomaga kwanza kabla ya Ku reply?
Niletee hio comment niliyosema General Relativity sio theory ili nijue kama na argue na mwenye akili "timamu" au lah
Sawa mkuu ngoja nitajaribu kupitia nondo zangu, kisha ntajaribu kuelezea in layman language. Maana hii concept ya gravity kila ikipata jibu ina leta swali jipya.I hope mkuu unaeweza kuacha mawili matatu kulingana na uelewa wako wa General Relativity kuwa "how exactly things seem to fall?"
Mkuu itoshe tu kusema nimeshindwa kabisa kutoka nje ya comnonsense ya kawaida ya gravity nilioimezaKitu kinachochanganya hapa ni Ku assume existence ya Gravitation ili kuelezea Gravitation
Tutazame mfano wa "mtu anaye fall kwenye elevator"
Hii tunaiita "Free fall motion"
Sasa whether kuna "Force inayomvuta kuja chini" au "Hakuna Force yoyote inayo mvuta" ndio swali kwanza la kujibu
Kulijibu hili swali,turudi kwenye "first law of motion" au "Law of inertia"
Hii law inasema (roughly) kama hakuna any external force inayo act kwenye certain frame of reference (eneo lolote lile utakalo tumia Ku "observe ulimwengu")
Basi sheria zote za Physics zitakua sawa kabisa kwa aina hio ya Frame of reference
Frame of reference ambayo hakuna " Force" yoyote inayo act kwake tunaiita "Inertial Frame of reference"
Na sifa kuu ya inertial frame of references ni kwamba sheria zote za physics zinakua "valid" kwa kila inertial frame of reference
Means kama tukiamua Ku perform "Physical Experiment" yoyote ile tukiwa katika inertial frame of references mbili tofauti tutapata the same result
Shika hii point kuwa "inertial frame of reference" ni frame of reference ambayo hakuna "force" yoyote inayo "act" kwake...
Sasa imagines watu wawili tofauti Let's say "Juma" na "Asha"
Asha yupo mbali kabisa na dunia na mbali kabisa na kitu chochote chenye Mass...
I mean yupo kwenye "Outer space"
Hapa "Asha" hayupo subjected na Force yoyote ile...
So tunasema yupo kwenye inertial Frame of reference (F=0)
Na "Juma" ndiyo yupo hapa kwenye elevator inayo dondoka
Wote hawa wata feel weightlessness
Sasa conclusion ya muhimu hapa nikua,huyu "Juma" akiamua Ku perform "Physical experiment" yoyote ile ndani ya hii elevator inayoonekana kuanguka atapata majibu Yale Yale atakayo pata "Asha" kama naye akiamua Ku perform the same experiment
Implication yake ni nini?
Kama hakuna tofauti ya matokeo atakayo pata Asha na Juma
Basi wote tunasema wapo kwenye inertial Frame of references
Kumbuka Asha hayupo subjected na force yoyote ile...
Kama wote wapo kwenye inertial Frame of references basi hata Juma na elevator yake hayupo subjected na force yoyote ile (F=0)
Kama hayupo subjected na Force basi hii "downward acceleration' tunayomuona nayo inahitaji " maelezo mengine tofauti "
Cause hayupo subjected na Force yoyote ile so hakuna reason ya yeye Ku accelerate downwards
Cause a=0 kwa inertial frame of reference
Kwa logic hii "Elevator" hai accelerate chini kama "common sense inavyotwambia"
Ipo "stationary" hai move....
Na hio ndio "Equivalent principle"
Ukielewa hii umeelewa msingi wa General Relativity
General Relativity ni ngumu kuielewa cause inabidi utoke nje ya common sense ulizozizoea
Na nahisi wengi hawapo familiar nayo ndo maana napata ugumu huu kujibiwa swali langu
So turudi kwenye point kama "Juma" na "Elevator" hawa accelerate downwards tunaelezea vipi hiki kitendo cha "elevator" kuanguka chini wakati logic inatwambia elevator hai accelerate kuja chini
General Relativity imetupa majibu na majibu hayo nimeshindwa kuyaelewa thus why nimeuliza hili swali kwa walisoma General Relativity
Hint kidogo niliyopata ni kwamba "Mda ndio unaelezea kwanini kitu kudondoka"
Yaani "forward movement into future" inayotupa hii illusion of "falling"
Hapa ndipo sijaelewa
Matokeo yake nimeuliza in wrong platform ambao wengi hawapo familiar na hio General Relativity
Mkuu, kwanza kabisa umewatusi watu wote wanaosoma thread hii.
Sorry sana bro kama hio statement imekosea wachangiaji kwa namna moja au nyingineMkuu, kwanza kabisa umewatusi watu wote wanaosoma thread hii.
Kabla ya kuwaomba msaada, ondoa tusi hili.
Umeandika
"Unashangaa ulichosoma najua, yote hayo ni kwasababu wewe una IQ isiyozidi 100 so huwezi fikiria nje ya common sense"
I find that highly offensive and kind of contradicting the point of this thread.
Unataka majadiliano na watu wasio na IQ inayozidi 100 na wasioweza kufikiria nje ya common sense?
I happen to be reading another Relativity book right now.The book is "The Most Perfect Theory: A Century of Geniuses and the Battle Over General Relativity"cha Profesa wa Astrophysics Pedro Pereira wa Oxford.Kinachambua mambo haya kwa kirefu kuanzia Classical Newtonian physics, mpaka Relativity Revolution ya Einstein, na confirmation ya Sir Arthur Eddington kwenye solar eclipse ya 1919, mpaka leo na mustakabali wa fizikia miaka ijayo. Na nimekuwa nikisoma vitabu kama hivi kwa miaka karibu 27 sasa.So I probably have something to offer here.
But I feel slighted.
Nime ondoa hio "paragraph" kwenye bandiko languMkuu, kwanza kabisa umewatusi watu wote wanaosoma thread hii.
Kabla ya kuwaomba msaada, ondoa tusi hili.
Umeandika
"Unashangaa ulichosoma najua, yote hayo ni kwasababu wewe una IQ isiyozidi 100 so huwezi fikiria nje ya common sense"
I find that highly offensive and kind of contradicting the point of this thread.
Unataka majadiliano na watu wasio na IQ inayozidi 100 na wasioweza kufikiria nje ya common sense?
I happen to be reading another Relativity book right now.The book is "The Most Perfect Theory: A Century of Geniuses and the Battle Over General Relativity"cha Profesa wa Astrophysics Pedro Pereira wa Oxford.Kinachambua mambo haya kwa kirefu kuanzia Classical Newtonian physics, mpaka Relativity Revolution ya Einstein, na confirmation ya Sir Arthur Eddington kwenye solar eclipse ya 1919, mpaka leo na mustakabali wa fizikia miaka ijayo. Na nimekuwa nikisoma vitabu kama hivi kwa miaka karibu 27 sasa.So I probably have something to offer here.
But I feel slighted.
Kama kweli una interest na physics basi rudi shule ukasome physics; siyo kuleta bla bla hapa! Ungekuwa unaijua namba hii hapa chini, usingeleta pumba hizi kwenye server za JFKwanini vitu vinadondoka?
Hili swali kwa muda mrefu nilikua nalichukulia poa (take for granted) lakini sasa nakili kuwa ni moja kati ya maswali magumu zaidi kuwahi kuulizwa na binadamu.
Ukiacha Programming kitu kingine ninachokipenda ni Modern Physics, nasoma basics tu niweze kuelezea ulimwengu ninao interact nao kila siku baada ya Computer
So nilikua naamini kabisa kuwa naweza kuelezea kwanini vitu vinadondoka? Kwanini jiwe linarudi chini ukilirusha juu?
Kwanini apple linaanguka juu ya mti?
Isaac Newton alitupa Formula sahihi(kiasi) ila maelezo ya "uongo" kuhusu kwanini vitu vinadondoka
Kwa mujibu wa Sir Isaac Newton, jiwe linadondoka kwasababu kwasababu ya nguvu ya uvutano kati yake na Dunia. nguvu hii ya uvutano ndiyo inayofanya jiwe livutwe chini kwa kasi ya mita 9.8 kwa kila sekunde ya kila sekunde (acceleration due to gravity)
Na hayo maelezo ya uongo nimekua nikiyaamini mpaka hapo juzi nilipopata nafasi ya kujifunza General Relativity. Na nilichogundua ni kuwa, siwezi tena kuelezea kwa nini jiwe au kitu chochote kinadondoka
Naamini kuna watu smart humu waliosoma General Relativity au kuielewa, wanaweza kutuelezea kwanini vitu vinaanguka..
Kwanini Newton hakua sahihi?
Newton hakua sahihi kwa sababu hii
Imagine umeshika chupa iliyojaa maji (umeinyanyua)
ukiachia hii chupa, itandondoka chini sio?
Hapana, chupa haitondondoka
Chupa haitondoka kwasababu hakuna nguvu yoyote inayoivuta hio chupa. Ku prove hili, tutoboe matundu mawili katikati ya hio chupa
Kipindi tumeishikilia (maji yatamwagika chini kupitia yale matundu) ila tutakapo iachia maji hayatomwagika tena hata kama chupa ina matundu. so hakuna force yoyote inayovuta yale maji tena.
Kwa mjibu wa Newton first law of motion, hii chupa itaganda pale pale kwasabau kama F=ma , m=mass ya chupa ya maji , a= acceleration na F= 0 (kwasababu hakuna nguvu yoyote inayoivuta) basi a=0 (haitodondoka)
kumbuka m > 0 (chupa always ina mass)
Sasa swali linabaki kwanini hii chupa tunaiona ikishuka kutoka juu mpaka chini?
Au kwanini vitu vinaonekana kudondoka?
UPDATE:
Wazee naona kama baadhi hamjaelewa swali au lengo la huu uzi
Swali ni hili "Kwanini vitu vinadondoka?"
NOTE: usitumie classical mechanics kujibu hili swali thus why nimeanza kuonyesha hapo juu kwanini classical mechanics haiwezi kujibu swali hilo