Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,371
- 3,146
Sijui mmeshagundua? Kila kiongozi nchini lazima ajitutumue kuvaa kamiwani hata kama si mgonjwa wa macho.
Haka kastaili cha viongozi kuvaa vimiwani wamekatoa wapi? Ni fasheni? Ujiko? Au kasumba fulani ya kishamba?
Kwa nchi kama Marekani, sijawahi kuona rais ana kamiwani. Ni nadra sana kukuta kiongozi amevaa kamiwani. Ni wachache.
Hata JK wakati anaingia madarakani hakuwa na miwani. Lakini alivyojipachika tu jina la DOKTA tukaona anaanza kuvaa kamiwani.
Na samia pia, alikuwa ana kamiwani ka kuzugia toka enzi za umakamu, lakini yeye alikuwa anakavaa kwa kukaweka juu ya pua.
Na mawaziri wakuu pia toka awamu ya Mkapa, wote wana vimiwani eti!!
Kwani hauwezi kuwa kiongozi bila kuwa na kamiwani cha maigizo?
Ni kama aina fulani ya ugonjwa wa akili?
Haka kastaili cha viongozi kuvaa vimiwani wamekatoa wapi? Ni fasheni? Ujiko? Au kasumba fulani ya kishamba?
Kwa nchi kama Marekani, sijawahi kuona rais ana kamiwani. Ni nadra sana kukuta kiongozi amevaa kamiwani. Ni wachache.
Hata JK wakati anaingia madarakani hakuwa na miwani. Lakini alivyojipachika tu jina la DOKTA tukaona anaanza kuvaa kamiwani.
Na samia pia, alikuwa ana kamiwani ka kuzugia toka enzi za umakamu, lakini yeye alikuwa anakavaa kwa kukaweka juu ya pua.
Na mawaziri wakuu pia toka awamu ya Mkapa, wote wana vimiwani eti!!
Kwani hauwezi kuwa kiongozi bila kuwa na kamiwani cha maigizo?
Ni kama aina fulani ya ugonjwa wa akili?