Kwanini viongozi waliothibitika kuiba fedha za umma hawawajibishwi zikarudishwa elimu ya juu nchini ikawa bure?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,625
Wahitimu waliomaliza elimu ya juu kwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kutwa wanabanwa kurudisha mikopo hiyo wakati wengi wao wanahangaika mtaani bila ajira wala shughuli za kufanya.

Wakati ukiangalia upande mwingine kuna ubadhirifu mkubwa unafanywa serikalini, viongozi wanaiba mabilioni kwa mabilioni na huoni wakichukuliwa hatua yoyote fedha hizo kurudishwa.

Kuliko kuwabana wanafunzi waliosomeshwa kwa mkopo ambao wengi kurudisha pesa hizo tunajua haiwezekani, kwanini vongozi wote waliothibitika kuiba fedha za umma hawawajibishwi na fedha hizo kusaidia kwenye elimu ya juu wanafunzi wakasoma bure?

Mianya ya ubadhirifu na ufisadi ikizibwa serikali ina uwezo kabisa wa kufanya elimu ya msingi mpaka chuoni nchini kuwa bure. Tatizo ni nini?
 
Wahitimu waliomaliza elimu ya juu kwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kutwa wanabanwa kurudisha mikopo hiyo wakati wengi wao wanahangaika mtaani bila ajira wala shughuli za kufanya.

Wakati ukiangalia upande mwingine kuna ubadhirifu mkubwa unafanywa serikalini, viongozi wanaiba mabilioni kwa mabilioni na huoni wakichukuliwa hatua yoyote fedha hizo kurudishwa.

Kuliko kuwabana wanafunzi waliosomeshwa kwa mkopo ambao wengi kurudisha pesa hizo tunajua haiwezekani, kwanini vongozi wote waliothibitika kuiba fedha za umma hawawajibishwi na fedha hizo kusaidia kwenye elimu ya juu wanafunzi wakasoma bure?

Mianya ya ubadhirifu na ufisadi ikizibwa serikali ina uwezo kabisa wa kufanya elimu ya msingi mpaka chuoni nchini kuwa bure. Tatizo ni nini?
Shida si ni pale juu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ccm Yenye Ilani Na Mamlaka Zote Imeoza Sasa Itafanya Nini Zaidi
 
Back
Top Bottom