Kwanini vijana wanahimizwa kuoa/kuzaa?

Kwanini vijana wanahimizwa kuoa/kuzaa?

Hahahah....mi popo. Poa umesomeka kwa hiyo ukiwa unazaa unatakiwa uwaandalie wanao future mapemaaa

Ndo manake
Jipange ndo uzae kwa ajili ya future yake
Na hii ndo inatutesa vijana weng wanaona bora wafe bila mtoto kwa maana wanaogopa kuwaachia jamii mzigo
hutopenda mwanao apitie njia ulopitia ya kidumu na fagio while mtoto wa jiran anaenda na school bus.
Ni kupambana kusave kwa ajili ya future ya watoto wetu
 
Kimsingi hakuna kinachonsaidia marehemu

Wala hakuna mahusiano kati ya faida kwa maana ya faida na aliyefariki

Hakuna tofauti kati ya kuzaa na kutokuzaa linapokuja suala la kufariki

Hizi mambo za kuambiana kuwa sijui bora ameacha hiki au kile,huo ubora sijui ni upi!
 
Ni kwel jamii inahimiza vijana kuoa / kuolewa mapema ili kuacha kumbukumbu na kuendeleza kizazi

Machungu yanakuwepo no matter ana mke or mtoto.japo akiwa na watoto na mke na ikatokea kwa bahat mbaya alikuwa hajawaandalia future inauma zaid.

Kuzaa ni muhimu ili kizazi, ukoo, undugu usipotee tunataka mwendelezo
Hivi umuhimu wa kizazi kuendelea ni upi?
 
Kimsingi hakuna kinachonsaidia marehemu

Wala hakuna mahusiano kati ya faida kwa maana ya faida na aliyefariki

Hakuna tofauti kati ya kuzaa na kutokuzaa linapokuja suala la kufariki

Hizi mambo za kuambiana kuwa sijui bora ameacha hiki au kile,huo ubora sijui ni upi!

Mtu akifa ameacha huwa hayazungumzwi.... Ila ikitokea kijana lets say wa miaka 30 hivi af hajaacha mtoto lazima watu walalamike kwamba bora angezaa hata mtoto (yatima)
 
Mtu akifa ameacha huwa hayazungumzwi.... Ila ikitokea kijana lets say wa miaka 30 hivi af hajaacha mtoto lazima watu walalamike kwamba bora angezaa hata mtoto (yatima)

Sijawahi kusikia na katika tafakuri yangu sijawahi kugundua sababu ya msingi ya hawa watu kulalamikia hili!
 
Well said...

Mada nzuri hii…
Nakubaliana na mdau hapo juu kwamba uwe umeoa au hujaoa lazima utaacha maumivu tu na hio fikra ya kwamba ukifariki ukiwa umeoa utaacha jina au mjane ni majaaliwa tu hakuna anayetaka kufa kabla hajakula maisha lakini ni kitu ambacho kipo nje ya uwezo wetu...unaweza ufariki na mtoto afariki vielvile na unaweza uoe na usijaaliwe mtoto…Mtu aoe akiwa tayari kuoa na aishi kwa kujua kifo kipo na kinaweza kutokea wakati wowote,kwahio furahia maisha wakati unaporuhusu na si kwa kuwanufaisha watu!
 
Kuoa ni muhimu kwani unakwepa dhambi ya uzinzi
 
Unaweza kuzaa mtoto halafu akawa jambazi, au kahaba, au mvuta unga, sasa huoni kama anakuharibia jina tu. Mtoto mipango ya Mungu, lolote linawezekana, ndo maana tukafunzwa kumuomba, kumwachia yeye akuchagulie, kumwamini na kumshukuru.

You have said it all mkuu!!!
 
  • Thanks
Reactions: HMS

Similar Discussions

Back
Top Bottom