Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,339
Dah huu mchakato mgumu mkuu unahitaji uvumilivu sanaWebsite imekuwa kama pango aisee majobless nao wamechoka kupush ajenda , kuna shida mahali
Dah huu mchakato mgumu mkuu unahitaji uvumilivu sanaWebsite imekuwa kama pango aisee majobless nao wamechoka kupush ajenda , kuna shida mahali
Huyo atakuwa amechomolewa toka data base.Na Kuna mtu kapangiwa examination officer huko huko Necta.
Na shuhuda zimeadimika sana hapa!! Shuhuda zilikuwa zinachangamsha sana uzi na kutia moyo. Ina maana kati ya wadau wote wa huzi huu hakuna kabisa walioramba asali kwenye pdf ya juzi?Website imekuwa kama pango aisee majobless nao wamechoka kupush ajenda , kuna shida mahali
Kbsa hongera kwao,IT endlee kusafisha databaseIT wetu amesharudi alikuwa likizo, hongeren mliolamba Asali leo
Kitu hiki hapa:Aya sasa kama juzi na leo tena. !
Kitu kimeshushwa huko.
Mkuu umeramba asali?tukupe hongera zkoo
Mkuu unaeza sbri hata miezi 6 ndo uitwe saili,endlea kua mvumilivuPSRS Naomba na sisi mtuite kwa interview wale tuloomba mwezi wa sita na saba
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Asante sana bossTrade OfficerLoan Officer
Hongera sana Yesa.
Waliolamba asali hongereni sana....Mkawe watumishi wema
Leo kuna wengine waliofanya interview mwezi wa 7 wamelamba asaliPSRS Naomba na sisi mtuite kwa interview wale tuloomba mwezi wa sita na saba
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Yah mwez wa 7 sasa umefikiwaLeo kuna wengine waliofanya interview mwezi wa 7 wamelamba asali
Pdf hatimae zimerudiii sasa warudishe ile bandika bandua
IT tuko na wew
Mimi nilisharamba hadi nikastaafu!! Niko hapa kwa ajili ya kuwatia moyo na kuunga mkono jitihada za vijana wanaopambania ajira! Lakini pia nina vijana wangu wako kwenye mapambano haya. Wawili walisharamba asali, wawili bado.Mkuu umeramba asali?tukupe hongera zkoo
Hongera sana kwao mkuu..Mimi nilisharamba hadi nikastaafu!! Niko hapa kwa ajili ya kuwatia moyo na kuunga mkono jitihada za vijana wanaopambania ajira! Lakini pia nina vijana wangu wako kwenye mapambano haya. Wawili walisharamba asali, wawili bado.