HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika
Ndio mnavyodanganyana ?
Kama unazani ni uongo ww ndo unajidanganya mbeba box USA anaweza lipa wafanyakazi watano wa halmashauri Kwa mwezi Kila mwezi Kwa kipato chake Cha mwezi, Kodi yake ya nyumba Kwa mwezi ni Mshahara wa madaktar wawili wa ngazi ya degree uko wizarani
 
Kama unazani ni uongo ww ndo unajidanganya mbeba box USA anaweza lipa wafanyakazi watano wa halmashauri Kwa mwezi Kila mwezi Kwa kipato chako Cha mwezi, Kodi yake ya nyumba Kwa mwezi ni Mshahara wa madaktar wawili wa ngazi ya degree uko wizarani
Acha story za uchochoroni unaharibu sifa za watu wanaopaswa ku comment kwenye huu uzi.
 
Mkuu mm naongea uhalisia ulivyo mm mwenyw msaka tonge tu nasubir hizohzo ajira za halmashauri lkn ukwel nasema sifichi ukwel kuwafurahisha watu
Mbeba box ni sawa na mfanya kazi za viwandani hapa bongo hususani wale wa kazi nzito na ngumu. Sasa jiulize hiyo energy ya kuweza kufanya kazi nzito kiasi cha kukupa pesa za kuwalipa walimu 6 wa degree kama ni halisi au wishful thinking ?
 
Mbeba box ni sawa na mfanya kazi za viwandani hapa bongo hususani wale wa kazi nzito na ngumu. Sasa jiulize hiyo energy ya kuweza kufanya kazi nzito kiasi cha kukupa pesa za kuwalipa walimu 6 wa degree kama ni halisi au wishful thinking ?
Kama Unazan wabeba box wa USA ni sawa na wafanyakazi wa METL basi unajidanganya tena, fanya utafiti vzuri Mshahara wa daktari bongo ni Dollar 350 take home ambayo ni Hela ya siku 3 had nne Kwa mbeba box
 
Kama Unazan wabeba box wa USA ni sawa na wafanyakazi wa METL basi unajidanganya tena, fanya utafiti vzuri Mshahara wa daktari bongo ni Dollar 350 take home ambayo ni Hela ya siku 3 had nne Kwa mbeba box
Na wewe pambana ukabebe box kama unafikiri ni kazi yenye maslahi kiasi hicho. Sijui kama unafaham hizo kazi hufanywa na watu ambao ni unskilled na indecent ndio maana hata wanaozifanya huzifanya kama uchochoro tu wa kupita kwenda kutafuta kazi zinazojielewa.
 
Kama Unazan wabeba box wa USA ni sawa na wafanyakazi wa METL basi unajidanganya tena, fanya utafiti vzuri Mshahara wa daktari bongo ni Dollar 350 take home ambayo ni Hela ya siku 3 had nne Kwa mbeba box
He earns in dollars and spends in dollars. Unataka alipwe kwa dollars halaf umlinganishe na mtu anaelipwa shilingi kwa matumizi ya shilingi?
 
He earns in dollars and spends in dollars. Unataka alipwe kwa dollars halaf umlinganishe na mtu anaelipwa shilingi kwa matumizi ya shilingi?
Mwambie mwenye laki 4 bongo anaweza kuimba wimbo wa Jux, BORA NIINJOI, wakati mwenye laki 4 huko kwa wabeba box anaimba wa Daz Nundaz , KAMANDAAAAA
 
Na wewe pambana ukabebe box kama unafikiri ni kazi yenye maslahi kiasi hicho. Sijui kama unafaham hizo kazi hufanywa na watu ambao ni unskilled na indecent ndio maana hata wanaozifanya huzifanya kama uchochoro tu wa kupita kwenda kutafuta kazi zinazojielewa.
Dah mkuu Kwani Kuna ugomvi mm naongea halisi tu sio kwamba staki kuajiriwa au kuwakejer walioajiriwa, hapana mm ni msaka tonge kama wengine humu ndani lakn ukwel ndo huo
 
He earns in dollars and spends in dollars. Unataka alipwe kwa dollars halaf umlinganishe na mtu anaelipwa shilingi kwa matumizi ya shilingi?
Hizo ni theory tu zasisi tulio bongo lkn kiuhalisia haipo hivyo
 
Mwambie mwenye laki 4 bongo anaweza kuimba wimbo wa Jux, BORA NIINJOI, wakati mwenye laki 4 huko kwa wabeba box anaimba wa Daz Nundaz , KAMANDAAAAA
Lakn Lak 4 ni Dollar 180 hiyo ni Hela ya siku mbili mkuu uko USA kwambeba usisahau Hilo pia
 
Gharama ni Kodi tu za nyumba na za serikali mengine ni kawaida inategemea na life style ya mtu
Haircut pekee ni dollar 30 hadi 70 pia huko hakuna midosho ya abibas lazima uvae vitu original, hakuna kudownload nyimbo lazima ulipie Spotify, hakuna kuweka muvi library kwa buku lazima ulipie Netflix na makorokoro mengine kibao
 
Haircut pekee ni dollar 30 hadi 70 pia huko hakuna midosho ya abibas lazima uvae vitu original, hakuna kudownload nyimbo lazima ulipie Spotify, hakuna kuweka muvi library kwa buku lazima ulipie Netflix na makorokoro mengine kibao
Sasa unaenda kutafuta Hela au kustarehe? Kunyoa hata dongo si unanyoa mwenye tu
 
Back
Top Bottom