Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,607
- 59,664
Mboni halisomeki vizuri?Tangazo hilo hapo, in case hujalipata bado.
Linalosomeka vizuri link hii hapa:
View: https://drive.google.com/file/d/1bWv0ufR_AUNvbgFi058dcFZl_G9XQX-0/view?pli=1
Mboni halisomeki vizuri?Tangazo hilo hapo, in case hujalipata bado.
Link hio hapo juu applyAsante mkuu
Hivi Mkurugenzi hatakuzingua kukupitishia barua....Guys kama kuna mtu ana link ya group za interview za TRA naomba
Dah sielewi hata wacha tuoneHivi Mkurugenzi hatakuzingua kukupitishia barua....
Pambana sana maana hicho ndio kikwazo
Guys kama kuna mtu ana link ya group za interview za TRA naomba
whatsapp.com
Hawa wamefanya interview juzi kati ni wasaidizi wa maafisa maendeleo ya jamii.Wakuu ivi wanaoitwa maendeleo ya jamii ni wale wa degree kutoka database??
😂😂hiv TRA hatuna vigezo au mana nafasi ni nyingi jmnnaona BOT wameita interview wengine mjiandae sasa🔥🔥
😂😂😂😂🙌tulikubaliana kua kuna pdf la tanesco litatoka mwez ujao tar 7 niliwaambia wakuweke na wewe
acha tu aisee sijui tuna gundu gani. ila usjali jiandae na TAA na TPDC huwezi jua maana hata hizo ni asali tu..😂😂hiv TRA hatuna vigezo au mana nafasi ni nyingi jmn
Ndio mkuu nimefanikiwa mimi japo sijafanikiwa kuomba ila kitu nime uploadKuna aliyeweza kufungua portal ya Ajira ya TRA?
Wakuu aliefanikiwa kuvuka hapo