HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika
Wakuu wizara ya afya Hatujalipwa mshahara mwezi wa 10.

Hakuna dalili za mwezi huu maana mpaka leo hatujapata check numbers.

Wajuzi wa mambo huu imeekaaje
Siyo mjuzi ila nilipitia same scenario.

Update ya taarifa za payroll nafikiri deadline ni 15th

So ukiajiriwa tarehe ambazo update ilishafanywa au inakaribia kufanywa unakua huwezi kupata mshahara. Badala yake andika madai ya mshahara.

Kama watu wa idara yako wapo active na wanawork kama timu itakua walishakwambia ila kama ni wana attitude za kujiona miungu watu hilo swala ndiyo nimekuambia hapa
 
Siyo mjuzi ila nilipitia same scenario.

Update ya taarifa za payroll nafikiri deadline ni 15th

So ukiajiriwa tarehe ambazo update ilishafanywa au inakaribia kufanywa unakua huwezi kupata mshahara. Badala yake andika madai ya mshahara.

Kama watu wa idara yako wapo active na wanawork kama timu itakua walishakwambia ila kama ni wana attitude za kujiona miungu watu hilo swala ndiyo nimekuambia hapa
Leo tar 13 hatujapata check number na tumekuwa na wasiwasi wa kuenda kukosa mshahara WA mwezi huu.

Maana Hospitali X ya rufaa niliyokuwepo juzi watu sita Tu ndio waliopata check numbers Kati ya watu 100.

Hr leo tumemfuata Kwa hasira Sana amesema issue ya check numbers ni Makao makuu Dodoma na hazina yeye anatumia check numbers Tu.

So kasema tumrudie tar 18 anadai zinaweza kutoka japo Kwa upande wangu nimekuwa na wasiwasi juu ya hili suala.
 
Leo tar 13 hatujapata check number na tumekuwa na wasiwasi wa kuenda kukosa mshahara WA mwezi huu.

Maana Hospitali X ya rufaa niliyokuwepo juzi watu sita Tu ndio waliopata check numbers Kati ya watu 100.

Hr leo tumemfuata Kwa hasira Sana amesema issue ya check numbers ni Makao makuu Dodoma na hazina yeye anatumia check numbers Tu.

So kasema tumrudie tar 18 anadai zinaweza kutoka japo Kwa upande wangu nimekuwa na wasiwasi juu ya hili suala.
Check number haitoki mpaka mshahara kaka.
 
Sasa Mbona kuna baadhi ya mikoa wamepata check numbers wamepewa na HRs wao.

Hata hata kwetu wameitwa watu wanne wakapewa check numbers wengine tulivyouliza tumeambiwa hazijatoka
Mmeajiriwa muda sawa?

Anyway, ninachokujibu ni ambacho nilikiexperience
 
Sasa Mbona kuna baadhi ya mikoa wamepata check numbers wamepewa na HRs wao.

Hata hata kwetu wameitwa watu wanne wakapewa check numbers wengine tulivyouliza tumeambiwa hazijatoka
Aisee mambo ni mengi bwana. Lkn mtapata tu check no mkuu kikubwa barua mnazo
 
Ivi ajira portal ukiwa una omba .huwa mnaweka barua ya maombi tu. Au ina ambatana na vyeti
 
Ivi ajira portal ukiwa una omba .huwa mnaweka barua ya maombi tu. Au ina ambatana na vyeti
Inabidi ujisajiri kwanza kwenye ajira portal kwa kuweka taharifa zako za makazi, nakara ya vyeti vyako vyote vya taaluma na kuzaliwa ambavyo vimepigwa muhuri.ya vimethibitishwa na mwanasheria, kisha wasifu wako baada ya apo ndio utaandika barua ya maombi ya kazi unayo kidhi vigezo
 
Inabidi ujisajiri kwanza kwenye ajira portal kwa kuweka taharifa zako za makazi, nakara ya vyeti vyako vyote vya taaluma na kuzaliwa ambavyo vimepigwa muhuri.ya vimethibitishwa na mwanasheria, kisha wasifu wako baada ya apo ndio utaandika barua ya maombi ya kazi unayo kidhi vigezo
Uko kote tayari swali lilikua ni pale kwenye ku apply pakuweka barua ya maombi ni unaweka barua peke yake au una attach na vyeti tena kwenye iyo barua
 
Back
Top Bottom