Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 347
- 1,082
Naomba nikuulize kwanini TRA ,BOT,NHIF Pekee ndo yamejitoa je mashirika mengine yapo mbioni kujitoa psrs?correction; TRA haikujitoa bali mashirika ya umma yalipewa kibali kujiendesha yenyewe na TR by order ya Rais.