ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 15,371
- 35,811
- Thread starter
- #21
Ukiwa na mahusiano unapangiwa matumizi?Ndio, pia unakuwa huru na fedha zako.
Ukiwa na mahusiano unapangiwa matumizi?Ndio, pia unakuwa huru na fedha zako.
Kuna janamke mmoja lilikuwa kwenye ndoaKwanini upo single?
Mapenzi yamekushinda?
Hujaona faida yake?
Au upo single kwa sababu maalum?
Bila mapenzi, unadhani dunia ingekuwaje?
Je, wewe unaonaje maisha ya kuwa single? Ni uchaguzi wako, mazingira yamekulazimisha, au bado hujakutana na mtu sahihi? 🤔💭
Sunday
ShesRise_1 🖐
Watu wote hawa unakosaje ka mtu kamoja ka kupendana nako 😀yaan kutokua na mpenzi diha
Hapana
hilo..ndio kubwa kulikoNdio, pia unakuwa huru na fedha zako.
Wewe Platinum umeoa unakosa uhuru wowote?
Fire no stress je ukihitaji mbususu ?Sanaaa
ratiba yangu ina kuwa hivi
naamka nafanya mazoezi/tizi,
Kuoga,
Harakati,
Jioni Baa kula bia mbili tatu😁 hii ni muhimu.
Ghetto kulala.
Simu zikiita ni za mishe tu.
HayaaSina uchoyo wala
Ukiwa na mpenzi huwezi kua huru?
Duh 50yrs ana kesha bar 😆Kuna janamke mmoja lilikuwa kwenye ndoa
Likaanze kuchepuka
Likaishia kuvunja ndoa yake
Kwa sasa linapenda kujirusha kwenye mabaa na umri wake miaka 50
Halafu linamuonea wivu wema sepetu.
Niamini ninaposema samia
Anaongoza vichaa.
Sex kwangu sio priorityFire no stress je ukihitaji mbususu ?
Unaingia sokoni?
Au hutumii kabisa
Au chapta
Ukiwa na mahusiano unapangiwa matumizi?
🤔I push love away.
My lovely sisNgoja waje tuone.
aione Binti wa zamani
Ego ipo juu sana mahi😅😅Watu wote hawa unakosaje ka mtu kamoja ka kupendana nako 😀
Pole Platinum 😢Ndio nakosa, uhuru wangu ni kidogo sana.
Na sio baa moja. Usiku mmoja anabadilisha baa kama madadapoa wanavyobalisha wwnaume na bado anajiona yuko sawa.Duh 50yrs ana kesha bar 😆
Uongooo huuSex kwangu sio priority