Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
HahahaHahahahahaa. We kapambane irudi
She womt forgive me this time
Asha nisamehe mnoo.
Ndio bas tena
HahahaHahahahahaa. We kapambane irudi
Sanaaa!sasa hivi kuna PM nyingi nazikwepa haswaa mpyaa Mara chache haswaa!khaaaaaa kazi kwetu walahi! yabidi wanawake wa humu wawe makini sana.
Yaap!kuna vingine vingi nashukuru navikwepa!
Ila kujifanya wa kisshua while wa uswazi huku!
Mwanasheria wakati madam chaki!
Mama wawili+mhenga(divorced )
Hahaaaaa
Kuna uongo mwingine ni wakipuuzi kama huo wakujifanya mwanasheria sijui mara wakishua kumbe mwenzangu na mie hapa.. Still haijustfy kuja kuyamwaga ya mwenzie humu.. angemcha huko huko walipokutana wamalizane kivyao.Sisi wenyewe tunazingua lakini. Kwanini umdanganye mtu
Hahaaaaahaa!shogaa napambana na hali yangu!Kujikubali raha sana.
Hahaahaaa!!ahsante kakaa!Hayo ya mama wawili na divorced nayajua lakini haiondoi ukweli kwamba upstairs yako iko vizuri G.
Nitonye basi mkuuNimeshamjua
Ukweli humuweka mtu huru. Sasa uigize mwanasheria hujui kifungu hata kimoja si aibu jamaniHahaaaaahaa!shogaa napambana na hali yangu!
Ukiamua kunipenda jua Mimi ni mama wawili yaani sijawahi ficha damu yangu,wala kuachwa!niite tu single mother ndo nshakua na simrudii ng'o.

Hahaaaahaa!!anajua kiinglish hahahaa looh!mjini kuna mambo au kaka anaishi Masaki na ni injiniaa wa ndege?Ukweli humuweka mtu huru. Sasa uigize mwanasheria hujui kifungu hata kimoja si aibu jamani
Kazi ipo.Sanaaa!sasa hivi kuna PM nyingi nazikwepa haswaa mpyaa Mara chache haswaa!
Maana heee!hii Kali jamani!sijibu PM maana ndo vinaanziaga huko huko
Na vingi vitoto ndo visumbufuKazi ipo.
Hahaaaahaa!!anajua kiinglish hahahaa looh!mjini kuna mambo au kaka anaishi Masaki na ni injiniaa wa ndege?





au mimi namiliki nyumba mbezi beach na kiwanja goba na nimeajiriwa state house.Hahaaa!ndo maana mdada nae kapanda dauau mimi namiliki nyumba mbezi beach na kiwanja goba na nimeajiriwa state house.
Speaking of kupanda dau. Wadada wa mjini tutachomwa vibaya sisi. Ngoja niweke na thread kabisa maanaHahaaa!ndo maana mdada nae kapanda dau
Hahahaa!Leo ndo leoSpeaking of kupanda dau. Wadada wa mjini tutachomwa vibaya sisi. Ngoja niweke na thread kabisa maana
Hayo ya madau. Ushawahi kuona mtu hana kazi wala biashara anadanga tu mjini ila anaenda kwa bwana anaanza kuongelea biashara yake ya TZS 500M na anaomba apigwe tafu kwa kuongezewa 100M na anapewa?Hahahaa!Leo ndo leo
Inahusu nini?!


