Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Mkuu achana tu na huyo mtu,msamehe tu,huo mkasa pia ulinipata ndo hivo hivo mambo ya sheria kila siku anasema yupo na kesi,mara yupo na mawakili,ila sidhani kama ndo huyo,naona kama utapeli flani,kukufuata yupo tayari,kumfuata atasema ana safari mkoani kwenye kesi,nikamwambia hapa tulipofikia inatosha,alipoona sipokei tena simu zake akawa ananichatisha kwa namba ngeni akijifanya nachat na kaka yake

Hahahahhah walaah humu ndani kuna vitukooo ....
 
Back
Top Bottom