Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Hahaaaaa mjini akili tu
Jembe kwenu handeni
Hakiiii. Jana nilikua naambiwa we endelea hivyo hivyo utaishia na hao wa laki 2 3 sisi wenzio usione tunaishi hivi mjini. Usione nalipa kodi million kadhaa ukadhani nazifanyia kazi. Wanaume hawa ukijiweka juu wanakupa vikubwa . Nikamwambia nimekuelewa dada ila kuishi uongo ntadakwa tu siku
 
Hakiiii. Jana nilikua naambiwa we endelea hivyo hivyo utaishia na hao wa laki 2 3 sisi wenzio usione tunaishi hivi mjini. Usione nalipa kodi million kadhaa ukadhani nazifanyia kazi. Wanaume hawa ukijiweka juu wanakupa vikubwa . Nikamwambia nimekuelewa dada ila kuishi uongo ntadakwa tu siku
Hahaaahaa!duh!mjini hapaa!

Ila kazi anayo si ndo hyo kudangaa?
 
Back
Top Bottom