Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Hahaaaaa mjini akili tu
Jembe kwenu handeni
Hakiiii. Jana nilikua naambiwa we endelea hivyo hivyo utaishia na hao wa laki 2 3 sisi wenzio usione tunaishi hivi mjini. Usione nalipa kodi million kadhaa ukadhani nazifanyia kazi. Wanaume hawa ukijiweka juu wanakupa vikubwa [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nikamwambia nimekuelewa dada ila kuishi uongo ntadakwa tu siku
 
Itakua baada ya kumuona yupo bado ndo akashtuka anadanganywa [emoji23][emoji23]
Pole yake sana..mimi nilishadanganywa na mdada mmoja kuwa ni beki tatu na akawa ananitumia picha za mfanyakaz wake wa ndani,,siku nakuja kukutana nae nilibaki nakunywa pombe tu hata sikuwa na chakumwambia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kavurugwa Shunie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu niache nilikuwa sijamalizia mpaka mwisho kumbe na sisi ni waongo hivi mauwongo yote ya nini hivyo
 
Pole yake sana..mimi nilishadanganywa na mdada mmoja kuwa ni beki tatu na akawa ananitumia picha za mfanyakaz wake wa ndani,,siku nakuja kukutana nae nilibaki nakunywa pombe tu hata sikuwa na chakumwambia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwanini Sasa? [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bora anaejishusha kuliko anaejiweka kuleee wakati yuko hapa
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Asha zoea kila anaye lala mika ni dada

Asee leo mmenivunjia ndoaa nita deal na nyinyi wote! [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu niache nilikuwa sijamalizia mpaka mwisho kumbe na sisi ni waongo hivi mauwongo yote ya nini hivyo
Sisi waongo sana. [emoji23]
 
Hakiiii. Jana nilikua naambiwa we endelea hivyo hivyo utaishia na hao wa laki 2 3 sisi wenzio usione tunaishi hivi mjini. Usione nalipa kodi million kadhaa ukadhani nazifanyia kazi. Wanaume hawa ukijiweka juu wanakupa vikubwa [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nikamwambia nimekuelewa dada ila kuishi uongo ntadakwa tu siku
Hahaaahaa!duh!mjini hapaa!

Ila kazi anayo si ndo hyo kudangaa?
 
Yaap!kuna vingine vingi nashukuru navikwepa!
Ila kujifanya wa kisshua while wa uswazi huku!
Mwanasheria wakati madam chaki!
Mama wawili+mhenga(divorced )

Hahaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa kishua kumbe tupo wote uswazi huku
 
Back
Top Bottom