Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Hahahaaaa!wa kishua kumbe tupo wote uswazi huku
Hahahaaaa!wa kishua kumbe tupo wote uswazi huku
NakaziaSpeaking of kupanda dau. Wadada wa mjini tutachomwa vibaya sisi. Ngoja niweke na thread kabisa maana
Hayo ya madau. Ushawahi kuona mtu hana kazi wala biashara anadanga tu mjini ila anaenda kwa bwana anaanza kuongelea biashara yake ya TZS 500M na anaomba apigwe tafu kwa kuongezewa 100M na anapewa?![]()








Wakunyumba nimebaki nacheka sana jamaniSisi waongo sana.![]()
Nilisahau kudanga nayo kazi. Sema inalipa sana tatizo ukizoea unajikuta miaka inakatika cha maana huna unaanza kwenda kushinda kanisani sasa upate mume na watotoHahaaahaa!duh!mjini hapaa!
Ila kazi anayo si ndo hyo kudangaa?
Hahahaha
Ulikuwa na haraka eeh





kwa alivyokuwa analia lia kwa huruma mleta mada nikajuwa ke
He he vinachekesha sanaHahahaaaa!
Wakunyumba usicheke. Mjini hapa ndo maana watu wanatatuliwa marinda kwa uongo
Shetani anaokoka anakua malaika tenaNilisahau kudanga nayo kazi. Sema inalipa sana tatizo ukizoea unajikuta miaka inakatika cha maana huna unaanza kwenda kushinda kanisani sasa upate mume na watoto
Tena malaika haswaa wa kutoa ushauriShetani anaokoka anakua malaika tena
Sipendi mauwongo mie yaan hivi huwa inasaidia nini jamani mwisho wa siku unabaki kuumbuka tuWakunyumba usicheke. Mjini hapa ndo maana watu wanatatuliwa marinda kwa uongo
Hshaahaa!wadada wa mjini bwanaaTena malaika haswaa wa kutoa ushauri
Hahahkwa alivyokuwa analia lia kwa huruma mleta mada nikajuwa ke
Hakuna kitu kigumu kama kuishi kwenye uongo.Sipendi mauwongo mie yaan hivi huwa inasaidia nini jamani mwisho wa siku unabaki kuumbuka tu
Hahah
Kuna jamaa eti kasema anaibisha tasnia ya kiume![]()
![]()
Hivi uanaume ni tasnia !!






anaibisha wanaume wenzie anavyolia liaSometimes uongo una save sema huwa hamfikisha mtu mbali.Sipendi mauwongo mie yaan hivi huwa inasaidia nini jamani mwisho wa siku unabaki kuumbuka tu
Danganya kidogo. Uongo wa huyo dada ulivuka kiwangoSometimes uongo una save sema huwa hamfikisha mtu mbali.
Labda tasnia ya huko kwaoHahah
Kuna jamaa eti kasema anaibisha tasnia ya kiume![]()
![]()
Hivi uanaume ni tasnia !!



Hahahaanaibisha wanaume wenzie anavyolia lia