Kwanini ung'atwe ovyo!!

Kwanini ung'atwe ovyo!!

Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
1.Kwann huwa mnahisi kuonewa?
2. Unapomuacha mwanamke kwa nn lawama mnatupa sisi wanaume?
Thread yako ni nzuri lkn imeegemea upande mmoja. Ilifaa isipendelee upande wwte. Nakupa 50% chini ya 100
 
Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.

Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
Umenena, linapotokea tatizo wengi wetu huwa hatuzungumzi na muhusika badala yake unaenda kumuelezea mtu baki ukitegemea utapata suluhisho. Unaempelekea nae anayake yanamshinda kwa hiyo kupata ulichokuwa unatarajia ni vigumu utachapa lapa kwa wangapi?
 
Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.

Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
Umempa somo zuri sana, kama anajielewa huu ushauri utamsaidia sana.
 
Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.

Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
Huenda mtoa uzi ni mdangaji mkuu, hajui ustawi wa familia
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Ushauri wa kiboya kama huu mpe boya mwenzio Joyce Kiria.
 
Umenena, linapotokea tatizo wengi wetu huwa hatuzungumzi na muhusika badala yake unaenda kumuelezea mtu baki ukitegemea utapata suluhisho. Unaempelekea nae anayake yanamshinda kwa hiyo kupata ulichokuwa unatarajia ni vigumu utachapa lapa kwa wangapi?
Na hilo ndio huwa ni kosa sababu kuna tabia nyingine unaweza kuta mtu anazo ila hata hajui kama zinakera na kuudhi, na wapo watu ambao wako hivyo sikuzote ila ikitokea yakawepo mazungumzo lazima atajua hapa nakosea na solution ni hii. Baasi.

Ndio hapo sasa mwaya. Mie sikuafiki kabisaaa yaani huko kuchapa lapa sababu siku zote hakuna mkamilifu.
 
Maisha ni bonge la adventure, msiyabughudhi tukakosa uhondo
yaani wewe unawazaga kama mimi.Maisha ni haya haya unayoishi sasahivi jamani furahia to the fullest maana hatujui huko baada ya kufa nini kinaendela mf.ukienda mbinguni hujui utakuta nini kinaendelea.Kwa hiyo my friend enjoy the life sasa hivi changamoto zipo lakini zisikufanye ukashindwa kuenjoy.ISHI MAISHA MPAKA MUNGU MWENYEWE AFURAHIE UUMBAJI WAKE.
 
Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.

Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
Very few women understand this concept,you are always a wise woman,big up...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom