Kwanini ung'atwe ovyo!!

Kwanini ung'atwe ovyo!!

Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Kung'atwa kivipi mkuu? Wakati kugegeda?
 
Wew waingize wenzako mkenge tu wakaishie kuiba waume za watu umri ukisonga.
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Unawadanganya wenzako wasepe ili wewe uwahi kuchukua form kwenye uchaguzi Mdogo wa kujaza nafasi ya jimbo lililoachwa wazi!! Watoto watakusikiliza lakini wenye nazo kichwani watakuambia "utasubiri Sana hatoki mtu jimboni"!
 
Achana na wanaume wa siku hizi! maana wanaume makini gentleman! tunahesabika siku hizi, ujue kutofautisha kati ya red color na orange! enjoy your night!
 
kupendwa kung'atwa ovyo,ni hulka ya mwanamke alie-nyege-ka kung'atwa ovyo! mashine yako mwenyewe utapangiwaje mda wa kuipima oil?!
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Ungetaka Mungu akupe wa kufanana naye ungetulia kuliko kuruka ruka, umerukaruka wee hata aliyekutoa bikira humfahamu baada ya mambo kukushinda ndo uanze kusingizia Mungu atakupa Mungu atakupa, ushaambiwa Mungu anagawa kwa vibovu?
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini


Mwanamke hatakiwi kubembelezwa kama unavyotaka wewe, usijidanganye na tamthilia za Kikorea.....mwanamke ni wa kutumikishwa tu kisha anaachwa solemba.
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Hata utaekutana nae tena ana badness side yake it mean we unafundisha watu kutanga tanga.Pambana kwanza na tatizo then ukiona limekushinda kimbia.
 
Achana na wanaume wa siku hizi! maana wanaume makini gentleman! tunahesabika siku hizi, ujue kutofautisha kati ya red color na orange! enjoy your night!
safi best wewe ndo umeongea wengine wamekuja kutoa mapovu shurti wanagwaya ka peremende hheheheheheiyaaaaaaa
 
mkimaliza kuyatoa mapovu yenu nawaletea cha kuwawekea sabuni ndo nione kama mtayanywa au mtatapika tena heheheheheiyaaaaaaaaaaaaaa😉😉😉😉
 
Yapo yanayovumilika na yapo yasiyovumilika. Na level za uvumilivu nazo zinatofautiana, kwa mmoja laweza kuwa dogo kwa mwingine dogo hilo hilo linamshinda. Juzi juzi hapa kuna mkaka alisimangwa weee…kwa kujiua kwa issue za mapenzi, wapo walioona kama jambo lile halikustahili kifo ilihali marehemu yeye kwake aliliona zito hadi kupelekea kujitoa uhai….
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom