Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,410
Kung'atwa kivipi mkuu? Wakati kugegeda?Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Unawadanganya wenzako wasepe ili wewe uwahi kuchukua form kwenye uchaguzi Mdogo wa kujaza nafasi ya jimbo lililoachwa wazi!! Watoto watakusikiliza lakini wenye nazo kichwani watakuambia "utasubiri Sana hatoki mtu jimboni"!Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Yamemharibikia anataka na wengine waharibikiwe!!! Jf huwezi kuburuza watu kirahisi hivyo!Hahahaaa. Na kweli hivyo anatafuta wa kumfuata nyuma kwa ushauri wa kupotosha.
Nakusubiri ujue?Halafu we bibie nakutafuta ujue
Ungetaka Mungu akupe wa kufanana naye ungetulia kuliko kuruka ruka, umerukaruka wee hata aliyekutoa bikira humfahamu baada ya mambo kukushinda ndo uanze kusingizia Mungu atakupa Mungu atakupa, ushaambiwa Mungu anagawa kwa vibovu?Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Hata utaekutana nae tena ana badness side yake it mean we unafundisha watu kutanga tanga.Pambana kwanza na tatizo then ukiona limekushinda kimbia.Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
safi best wewe ndo umeongea wengine wamekuja kutoa mapovu shurti wanagwaya ka peremende hheheheheheiyaaaaaaaAchana na wanaume wa siku hizi! maana wanaume makini gentleman! tunahesabika siku hizi, ujue kutofautisha kati ya red color na orange! enjoy your night!