king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,038
Amin amin nakwambia aliyekupata/atakaye kupata atakuwa mwenye bahati kubwa.Haya bana mkuu. Ahsante.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amin amin nakwambia aliyekupata/atakaye kupata atakuwa mwenye bahati kubwa.Haya bana mkuu. Ahsante.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaaaa. Haya bana wacha niamini usemayo Mkuu. Ahsante.Amin amin nakwambia aliyekupata/atakaye kupata atakuwa mwenye bahati kubwa.
ok mkuuWanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka
utapata mwingine ambaye atakulea nakukuhendo maisha ni furaha sio karaha.
Uwe na consistency unapotoa nasaha zako!
mbona unamwita huyuSalt!
shosti utamvumilia mpaka mwishoe itabidi usepe maaana wengine wanakerekesha atii hujui tuMmh. Hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako. Ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.
Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
yeah mwambie labda anahisi kusepa ni jambo rahisi kwa kitu ulichokiweka moyoni watu wanavumilia maumivu mwisho wa siku mungu anaweka rehema zake hatimaye unaipata furaha ya kudumu.Sema nini, sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda.

shosti naona unataka tuzeekee majumban kwa baba zetuhahahaaaaaaaaaaaaaaa shosti hautazeeka wewe sepa tu ukishindwa kuvumilia au vumilia tu hivyohiyvo maana watu humu mate yamewatoka pima kama mchanga wa habari hahaaaaaaaaashosti naona unataka tuzeekee majumban kwa baba zetu
Wewe ni mwanamke bora kabisa.Mmh. Hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako. Ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.
Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
Hii inaonesha si wote wasioeleweka.Habarini wadau wa jf
Wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka
utapata mwingine ambaye atakulea nakukuhendo maisha ni furaha sio karaha.
jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Inapendeza kuona wanawake wenye mtazamao kama wako bado wapoMmh. Hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako. Ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.
Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
Ahsante sana Babu.Wewe ni mwanamke bora kabisa.
Mke bora na mama mzuri
Ana heri mwanaume aliye/atakaye kuoa.

Hahahahah!Ndo mnavyo danganyanaga sio?
Sikatai kuna wanaume hawafai hasa manake kutwa utalia.
Lakini kuna wanaume ambao wanarekebishika, na kubadilika kabisa and they turn out to be awesome husbands and Dads.
I wish ungewapa limits wenzio na kuwapa moyo wawe wavumilivu kwa sababu hamna mwanamme aliekamilika na sisi pia hatujakamilika.
Tufundishane, tuelekezane na tuvumiliane. Sio kosa dogo tu unasepa na hapo ushatumika. Ndo utasikia mwingine anaibuka na kusema oooh sitaki mwanaume bora mwanamke mwenzangu, mara oooh naweka dildo yangu chumbani.
Wanaanzaga hivi hivi.