Kwanini ung'atwe ovyo!!

Kwanini ung'atwe ovyo!!

hahaaaaa itabidi umfanyie surprise ya nguvu halafu uniite nami nione

ikiwezekana mwambie akupeleke Hyatt hotel siku hiyo 😀😀😀
Nitampeleka Popote Atakapopenda yeye....inawezekana Asipapende hapo Hyatt...akapenda labda kiwanja kingine kikali tuu kama vya dola 180-240$.
Au akapenda Nashera Morogoro!
Google Nashera halafu uje hapa ulete Mrejesho!
Nimetenga 450$ kwa siku hiyo TUU!
HELA inatafutwa ila matukio kama hayo hayatafutwi na hayajirudii!
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Wadanganye wajinga, umame wako uachwa uje kudanganya wenzio..!

SASA UTAJUA KUWA KWA TAJIRI CHA NINI MASIKINI NITAKIPATA WAPI...
 
Nitampeleka Popote Atakapopenda yeye....inawezekana Asipapende hapo Hyatt...akapenda labda kiwanja kingine kikali tuu kama vya dola 180-240$.
Au akapenda Nashera Morogoro!
Google Nashera halafu uje hapa ulete Mrejesho!
Nimetenga 450$ kwa siku hiyo TUU!
HELA inatafutwa ila matukio kama hayo hayatafutwi na hayajirudii!
hahhaaaaaa aisee ata-enjoy kweli duuu

akienda mwambie aje hapa alete mrejesho wa huko maana ni hatari kubwaaaaaaaaa
 
Wadanganye wajinga, umame wako uachwa uje kudanganya wenzio..!

SASA UTAJUA KUWA KWA TAJIRI CHA NINI MASIKINI NITAKIPATA WAPI...
umeandika lugha gani kindengerekoo hahaaaaaaaaaaaa
 
Umevurugwa unatamani wote wawe vivuruge kitu ambacho hakiwezekani, nakuona ukiachana na mwanaume huku ukitafuta mwanaume, jembe lilelile mpini tu tofauti.
 
Aliyewaloga yuko zake kwa niagieni..
 
Nitampeleka Popote Atakapopenda yeye....inawezekana Asipapende hapo Hyatt...akapenda labda kiwanja kingine kikali tuu kama vya dola 180-240$.
Au akapenda Nashera Morogoro!
Google Nashera halafu uje hapa ulete Mrejesho!
Nimetenga 450$ kwa siku hiyo TUU!
HELA inatafutwa ila matukio kama hayo hayatafutwi na hayajirudii!
hiyo avatar ni wewe au😛😛😛
 
weweeee ushauri wa mapenzi ano mpenzi mwenyewe,nyinyi wakina utamu mmeuwacha nyumbani mtabaki hivyohivyo tu - Nampa nampa nampa Papa, sangara haitoshi we mpatie namapa papa.

Sent from my Che2-L11 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka
utapata mwingine
ambaye atakulea nakukuhendo maisha ni furaha sio karaha.

Uwe na consistency unapotoa nasaha zako!
ahahahahaha kidogo na mimi niandike ulichoandika huyo shosti atasubiri sanaaa... wanawake tupo kibao
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
hii ni movie au reality?
shosti ana miaka 20 au kavuka 30?
 
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
Mmmh hapana huu si ushauri mzuri ... Mwanamke mwerevu hashindwi kummiliki mume. Ukikimbia unatoa mwanya kwa wanoweza kushika mwanaume. By the way kwann mpaka mwanaume akuache? Nadhani hamna elim ya mapenzi. Nendeni tanga kuna vyuo kule maana kumkimbia mume sio suluhisho
 
Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.

Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
We nu wa Tanga nn Emmyta! Una busara sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom