Ummesh
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,077
- 1,144
Tehe!Teh! Heti li mtuKweli kabisa Salt ,,unapopaacha panakuwa na unafuu mkubwa kuliko unakoenda unaweza jikuta moyo unatanuka kisa li mtu
Tehe!Teh! Heti li mtuKweli kabisa Salt ,,unapopaacha panakuwa na unafuu mkubwa kuliko unakoenda unaweza jikuta moyo unatanuka kisa li mtu
Hahaaa. Bado tupo Mkuu.Inapendeza kuona wanawake wenye mtazamao kama wako bado wapo

Eveyn Salt ktk ubora wako.Sema nini, sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda.
Barikiwa sanaHahaaa. Bado tupo Mkuu.
![]()
![]()
![]()
![]()
Amiin Mkuu. Nawe pia Ubarikiwe.Barikiwa sana
Unataka nikuite wewe??mbona unamwita huyu
Miss u sana sana!Abee Monaco
ukiondoka nachukua mwingine shida IPO wapiHabarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
asante kwa kuniita naamUnataka nikuite wewe??
Haya basi....Lady niece....
mke wa mtu huyu ujueMiss u sana sana!
Wewe utakuwa Unatuonea Wivu Mimi na Evelyn Salt...Tangu lini Binadamu Tukabaguana?tena Kwenye Jukwaa hili?mke wa mtu huyu ujue
hahahaaaaaa sikuonei wivu jamani samahani shostiWewe utakuwa Unatuonea Wivu Mimi na Evelyn Salt...Tangu lini Binadamu Tukabaguana?tena Kwenye Jukwaa hili?
Sidhani kama utafanikiwa...