Kwanini unaogopa kumwambia una mtoto?

Kwanini unaogopa kumwambia una mtoto?

ndio tabu ya wanawake inapokuja hapo..wanakuwa wazito... Fungukeni bhana
 
Hellows,hii tabia nimeiona sana kwa wanawake wezangu unakuta ana mtoto lakini akikutana na mwanaume mwingine na wakitaka kuanzisha mahusiano amwambii ukweli kuhusu mwanae wengine hudiriki hata kusema kua ni mdogo wake wengne mtoto wa ndg yangu hivi kwa wanawake wenye haka katabia mnaweza nambia kwann huwa mnakua hampend kufunguka na kama kwa wanaume pia hii kitu ipo mnaweza nambia why inakua hivo?
actually ni ngumu aisee kuna mfano upo hai nimeushuhudia
jamaa alioa mke akiwa na mtt mchz kiroho safi akawa anapigika kipind hik baba wa mtt hajulikan jamaa kamhudumia mtt kama mwanae japokua maisha yalikua chenga baada ya mda mtt akapata kaz wizara flan mwanzon mtt alikua anatoa misaada hm fresh lkn baada ya mama yake kufariki na misaada ikaishia hapo hapo wakat huo huo yule baba anashuhudia pic za mtt yuko na baba yake mzaz ambao hakujishuhulisha na chochote kwenye malez ya mwanae
yule mzee anamwachia mungu tu maana majiran ndo wanamsaidia shda ndogo ndogo
kwa kweli mm ma single mama mtanisamehe tu nimejifunza meng
Ni ujinga tu kumkana mwanao kisa unaweza kumkosa mwanaume. Mwanaume anaekupenda kwa dhati. Hata ukiwa na watoto 3,Kama amekupenda. Atakupenda tu.akikukataa ujue alikuja kwa dharura tu. Tubadilike
 
huo ni ufinyu wa akili kama lemutuz na kutokujielewa, mtu anajejitambua hawezi kumkana mwanae alimzaa kwa uchungu
 
ata sielewi kwa nn mtu anamkana mtto sijui aonekane bado mbichi
hapo chacha,,unakuta mtindi umefika kiunoni,,,worse enough ukute alijifungua kwa opereshen,,ile anakupa uchi unakuta mikato tumboni
 
actually ni ngumu aisee kuna mfano upo hai nimeushuhudia
jamaa alioa mke akiwa na mtt mchz kiroho safi akawa anapigika kipind hik baba wa mtt hajulikan jamaa kamhudumia mtt kama mwanae japokua maisha yalikua chenga baada ya mda mtt akapata kaz wizara flan mwanzon mtt alikua anatoa misaada hm fresh lkn baada ya mama yake kufariki na misaada ikaishia hapo hapo wakat huo huo yule baba anashuhudia pic za mtt yuko na baba yake mzaz ambao hakujishuhulisha na chochote kwenye malez ya mwanae
yule mzee anamwachia mungu tu maana majiran ndo wanamsaidia shda ndogo ndogo
kwa kweli mm ma single mama mtanisamehe tu nimejifunza meng


Umejifunza from one story tu mkuu!??
 
actually ni ngumu aisee kuna mfano upo hai nimeushuhudia
jamaa alioa mke akiwa na mtt mchz kiroho safi akawa anapigika kipind hik baba wa mtt hajulikan jamaa kamhudumia mtt kama mwanae japokua maisha yalikua chenga baada ya mda mtt akapata kaz wizara flan mwanzon mtt alikua anatoa misaada hm fresh lkn baada ya mama yake kufariki na misaada ikaishia hapo hapo wakat huo huo yule baba anashuhudia pic za mtt yuko na baba yake mzaz ambao hakujishuhulisha na chochote kwenye malez ya mwanae
yule mzee anamwachia mungu tu maana majiran ndo wanamsaidia shda ndogo ndogo
kwa kweli mm ma single mama mtanisamehe tu nimejifunza meng
Asee pole yake
Huyo Mtoto ipo siku atapata pigo. Na itakuwa ni malipo kwa baba wa kambo. Kama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom