Ht sijui hawa wanawake wenzetu wakoje,kumkana mwanangu haitakaa itokee hata siku Mojaata sielewi kwa nn mtu anamkana mtto sijui aonekane bado mbichi
Ht sijui hawa wanawake wenzetu wakoje,kumkana mwanangu haitakaa itokee hata siku Mojaata sielewi kwa nn mtu anamkana mtto sijui aonekane bado mbichi
ni ukatili uliopitilizaHt sijui hawa wanawake wenzetu wakoje,kumkana mwanangu haitakaa itokee hata siku Moja
Mlete nitampokeani ukatili uliopitiliza
Ninao mm wa4 Daby na huwa sifichi je utawapokea woteMlete nitampokea
Eeeh pm lakin sio kwangu.Ninao mm wa4 Daby na huwa sifichi je utawapokea wote
Khaaaa Daby unanikwepa tena bada ya kukwambia nina 4 ndio mana mnaongopewaEeeh pm lakin sio kwangu.
Hahaha...Khaaaa Daby unanikwepa tena bada ya kukwambia nina 4 ndio mana mnaongopewa
teh niwowe bas na mm na watto wanguHahaha...
Mimi nina huruma nikiona wanawake waliotelekezwa na watoto huwa natamani niwaoe wote.
Sasa kuwezekana ndiyo shidateh niwowe bas na mm na watto wangu
Kwangu mm mtoto siyo kikwazo kabisa, na nitalea kama mwanangu kabisa,
Kwaiyo bora aniambie ukweli tu
hahahh itawezekana tuSasa kuwezekana ndiyo shida
KaribuGood for you, hongera Chief!
Ukiona hivyo anataka kujifanya hajagongwa sana..wanaume wengi tuna katabia ka kuamini kua mwanamke mwenye mtoto kacheza mechi nyingi.Hellows,hii tabia nimeiona sana kwa wanawake wezangu unakuta ana mtoto lakini akikutana na mwanaume mwingine na wakitaka kuanzisha mahusiano amwambii ukweli kuhusu mwanae wengine hudiriki hata kusema kua ni mdogo wake wengne mtoto wa ndg yangu hivi kwa wanawake wenye haka katabia mnaweza nambia kwann huwa mnakua hampend kufunguka na kama kwa wanaume pia hii kitu ipo mnaweza nambia why inakua hivo?
Mtoto ni wangu, nasema tu straight kuwa nina mtoto.Mimi hata sijui kweli.