ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,681
- 16,279
! Jumlisha ma-x wengineSababu hamna mwanaume anapenda akae na mtoto wa mwanaume mwenzake,maana anaamini ipo siku atspigiwa tu na baba wa mtoto,
Kumbuka waliozaa pamojs huws hawaachani
! Jumlisha ma-x wengineSababu hamna mwanaume anapenda akae na mtoto wa mwanaume mwenzake,maana anaamini ipo siku atspigiwa tu na baba wa mtoto,
Kumbuka waliozaa pamojs huws hawaachani
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unaongea na simu au?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kaka umempenda nani?
AuUnaongea na simu au?
Nitakupoteza kama Roma....
Yani nina rafiki angu, ukikaa naye dk 2 lazima atammention her lil man. Sasa pata picha unakaa na mtu mwaka na hajamtaja mwanae hata kwa bahati mbaya. Itabidi tu ukimbie, sio kwa roho ngumu hiyoHuyo mwanamke anaye mkana mwanae kisa kumfurahisha mwanaume sio mwanamke wa Ukwe, na sio mama wa Ukwe.
Mwanamke wa ukweli atajuvunia mwanae popote, na kwa yeyote. We are mothers of this World, and should be proud of it.
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Nitakupoteza kama Roma....
Chi ndio hapo chacha!!Huyo mwanamke anaye mkana mwanae kisa kumfurahisha mwanaume sio mwanamke wa Ukwe, na sio mama wa Ukwe.
Mwanamke wa ukweli atajuvunia mwanae popote, na kwa yeyote. We are mothers of this World, and should be proud of it.
Hivi naanzaje kuficha kuwa nina mtoto!! I have a doughter and i love her to death[emoji8] [emoji8] [emoji8]Yani nina rafiki angu, ukikaa naye dk 2 lazima atammention her lil man. Sasa pata picha unakaa na mtu mwaka na hajamtaja mwanae hata kwa bahati mbaya. Itabidi tu ukimbie, sio kwa roho ngumu hiyo
binafsi huwa siulizi, nikiingiza tu mdudu wangu najua huyu mwanamke kazaa au hajazaa. wakati mwingine hata kabla ya kuingia, nikipiga finger tu ile kuloweshana, sihitaji kuuliza kama una mtoto, labda iwe "watoto wangapi?"Hellows,hii tabia nimeiona sana kwa wanawake wezangu unakuta ana mtoto lakini akikutana na mwanaume mwingine na wakitaka kuanzisha mahusiano amwambii ukweli kuhusu mwanae wengine hudiriki hata kusema kua ni mdogo wake wengne mtoto wa ndg yangu hivi kwa wanawake wenye haka katabia mnaweza nambia kwann huwa mnakua hampend kufunguka na kama kwa wanaume pia hii kitu ipo mnaweza nambia why inakua hivo?
Hii husababishwa na tamaa ya mda mfupi bila kujali athari za mda mrefu maana anawaza nikimwambia Nina mtoto hatanioa kumbe kama bahati yako kuelewa utaolewa tu hata kama una watoto
Love you to death mommaHivi naanzaje kuficha kuwa nina mtoto!! I have a doughter and i love her to death[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Wewe ni kati ya wanaume wa kweli duniani hongera sana mkuu.Kwangu mm mtoto siyo kikwazo kabisa, na nitalea kama mwanangu kabisa,
Kwaiyo bora aniambie ukweli tu
Hahahahaaaa.....Hahaha...
Mimi nina huruma nikiona wanawake waliotelekezwa na watoto huwa natamani niwaoe wote.
Ur welcomeWewe ni kati ya wanaume wa kweli duniani hongera sana mkuu.
Ayasher unanichekaHahahahaaaa.....
AhsanteUr welcome