My random thoughts:
1. Jamii imewafanya wawe hivyo. Tumezoeshwa kuwa mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ni mhuni, easy, et al et al.
2. Lakini pia kuna extremes. Yani mwanamke kila sekunde mbili anamuongelea mtoto. huyu naye ni wa kumcheki kwa jicho la pili. [HASHTAG]#feminists[/HASHTAG] [HASHTAG]#myWorld[/HASHTAG]
3. Uhusiano na baba wa mtoto upoje? Kupendana ni sawa ila kuanzisha mahusiano naye ni jambo kubwa. Ili usijepata shida mbeleni ni vyema ukafahamu hili mapema.
4. Nawaza tu, na mimba tulizowatia mabinti wa watu wakazitoa (na mabinti waliotoa mimba) nayo inabidi tuseme
5. All in all ni mambo yanayoepukika. Kuzaa nje ya ndoa ni kujihakikishia kuwa unabeba baggage of your past wherever you go.
Best solution? Tuache zinaa kabla ya ndoa. Maana unaweza dhani mtoto ndo mzigo pekee lakini kwa kila mwanaume (mwanamke) uliyelala naye umebeba mzigo wake. Kwa mantiki hiyo kila mahusiano utakayoyaanzisha huanzi na a clean slate, yani sahani yako tayari ina chakula cha hoteli A wakati sasa upo hoteli B.
Inawezekana kuacha now..sitaki kuhubiri..but kuacha na kusafisha your mind of the past baggages you have been carrying za past relationships.
Kwako dada mwenye mtoto...hongera na pole. Hongera kwamba hukuchagua kutoa mimba (ingawa wengi wenu mngejua mapema kuwa ni waja wazito mngetoa au wengine mlijaribu vidonge vikagoma). Ila hongera tu. Jukumu lako ni kubwa.
Pole kwa kuwa jamii itakuhukumu. Ndiyo jamii yetu kuwa mwizi aliyekamatwa na kuku ni mkubwa kuliko mwizi aliyeiba mbuzi na hakukamatwa.
These are just random thoughts...