Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Usipotangaza ndio unakuwa forgiven?
Ukitangaza unatoa promo za dhambi kwa wengine na kueneza uovu kuliko yule anayekaa kimya , mfano mimi nikianza kufichua maovu yangu kuna watu labda walikuwa wananihesabia kama kiigizo chao sasa wakijua na ikiwatokea situation kama yangu kupelekea kufanya dhambi watasema kama fulani yule kila siku swala tano na anafanya vitu fulani mimi ni nani nisifanye ?

Vilevile kutangaza ni dalili ya kibri kwamba aliweka makatazo si lolote hilo jambo ni kawaida.

Ndio mtu anakuwa Forgiven kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu kuna madhambi mtu atasamehewa kwa kuwa hakutangaza akayasitiri.
 
Hivi na loyola ni yamichango.
 
Sadaka
 
Hivi na loyola ni yamichango.
Ni ya msaada, ila ni ya Kikristo, lazima vipaumbele viwe kwa watoto wa kikristo, hata kwa kutoa ufadhili wa kusoma kwa ada nafuu nk! Hakuna shule nimewahi ona inafanya hivi zaidi ya janja janja tu. Ada ya Loyola unadhani mtoto wa mtoa sadaka mlalahoi atagusa?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Na kwenye makongamano ndio balaa zaidi. Mchungaji wa kutoa neno anaanza saa kumi na Moja, ujumbe mkuu ni matoleo mpaka mwisho. Akafu unaambiwa Kwa upole muda wa kutoa, jitahidi utoe zaidi ili ubarikiwe zaidi. Yaani ni hatari kabisaaaaa siku hizi. Na makanisa yanajazana kila Kona.
 
Nimeshuhudia visa vya watu kadhaa wakibabaika mbele za watu baada ya kukosea kutoa ushuhuda.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
ushuhuda unaweza kuwa kipimo cha imani ya kweli ila sio wakati wote.Kuna situation ambazo sio za kweli.Ni sawa na kuangalia miujiza.Kuna miujiza ya Mungu na ambayo ni ya nguvu za giza.Pia sio kipimo cha imani ya kweli.
Imani ya kweli inapimwa kwa ujumbe.
 
Imani yako hiyo katika kuamini Mungu hayupo ni kwa sababu una a very narrow and limited scope ya nafsi na mwili wako kuyaona mambo.
Na pengine ukiupata uwezo huo utakuwa Lucifer mwenyewe.
 
Lakini kumbuka ni swali tu limeulizwa, halina maana ya kuwa anaelijibu anajigamba, hapana. Anaweza akasaidika pia kwa kupata mawazo chanya juu ya changamoto kuu iliyoweka pingamizi kwake kutembelea nyumba za ibada mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…