Jirani yangu kuna mganga wa kienyeji, sasa kuna siku nazunguka na wife, namuona mganga na mchungaji, wanaagana mchungaji anarudi kigoma, duh
Jirani yangu ni mama mchungaji aisee roho mbaya, matusi na madeni yanamsumbua, mpaka wapate sadaka ndio alipe
Yote padri kutembea na waimba kwaya wote wa kike, Padri kutembea na mke wa mtu hadi jamaa kwenda kwa Askofu kumsemea, mwisho Padri kulewa mpaka askari wa doria usiku wanamkamata ndio wanashtuka heee Father?
Roho imekuwa ngumu sana
Sent using
Jamii Forums mobile app