inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,306
- 18,771
Mohammed gani alikua waafrika magharibi!?..lini!?kwann tuende mbali haya ya leo huyaoni ? je kuna faida gan kuacha haya ya alshabab , boko haram , al answar , is central africa , halaf tujadili mamb ya zamn kbs , au hayo ya wakristu kueneza ukristu huko baran kwao( maana haikuwa nje ya ulaya kama Mohamed aliua waafrika magharibi na kaskazin kueneza dini yake ) je hayo ya crusade baran ulaya yanahalalisha chochote wanachofanya akina alshabab , boko haram au is central africa au janjaweed au al answar kwa kuua na kuchinja waafrika wenzao