Ukimya alipozaliwa na kuteswa Yesu kule Jerusalem kwazidi kuitambulisha nafasi ya Israel kwa Waislamu na Wakristo duniani

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Vita vya Gaza vilivyoanzia na mashambulizi ya Hamas ya oktoba 7 yakiwa ndio makubwa kwa miaka 75 katika kutetea ardhi za wapalestina kumeibua mambo mengi yaliyokuwa hayakujulikana na wengi mwanzo.

Miongoni mwa mambo hayo ni kuweza kuzitofautisha imani za dini ya kiislamu, kiyahudi na ukristo.

Waislamu daima wamejuwa kuwa mayahudi ambao waliundiwa taifa la Israel ndani ya Palestina kuanzia mwaka 1948,wamejua kuwa dini hiyo ni batili na wafuasi wake ni waliolaaniwa.Hata hivyo wafuasi wa kikristo hasa katika nchi za kiafrika wameathirika sana na kutoweza kutofautisha baina ya ukristo na uyahudi na hata kuwaona mayahudi kuwa ni wenzao na washirika wao dhidi ya waislamu.

Mafunzo mengi ya Kiyahudi yameingizwa kwenye ukristo hasa kupitia makanisa yanayopata ufadhili kutoka Marekani.

Vita hivi vya Gaza vimetoa fursa kujua kuwa mayahudi walioko Israel hawana huruma na wakristo kabisa sawa na walivyo maadui kwa waislamu.

Visa hivyo na vitimbi vya mayahudi Jeusalem vimefanikiwa kuwatia hofu na kuwakimbiza kabisa wakristo eneo hilo takatifu.Wakristo kutoka nchi za mbali pekee ndio wanaofika kuzuru eneo hilo.

Briton Noel Gomez ambaye kazi yake ni kuwatembeza watalii wa kidini wakatoliki wanaingia Jerusalem hivi karibu alipata mshangao mkubwa alipotembelewa na mwandishi wa habari na kuingia naye ndani.
Akiwa mwenye haya usoni, akasema looh.

"Nimepigwa na butwa kweli.Nilitaraji kukuta angalau watu 50 au 100.Lakini hapa ni mimi na wewe tu"
Muongoza watalii mwengine wa Israel,Naomi Miller ambaye hupata mkate wake kwa shughuli hiyo alipofika mwenyewe kukagua kituo chake cha kazi alisema.

"Imekua kama zile hisia za Covid 19.Eneo takatifu kwa wakristo duniani kote na liko tupu namna hii !"
Sister wa dhehebu la Fransisca,Maria Celina Mendoza mwenye umri wa miaka 69 ambaye hufanya shughuli zake za kiroho Angola,kwa upande wake alipofika kwenye eneo hilo na kukuta alichokuwa hakutarajia akajisemea mwenyewe machozi yakimtoka.

"Ukweli kwamba wakristo wote wamehama hapa kunatia huzuni sana"

Jerusalem Christian landmark emptied of pilgrims

1700892500032.png

1700892534539.png
 
Mujahideen Pambaneni na Wayahudi

Ukristo ni Dini ya Upendo, twawapenda nyote hata hao Magaidi wa Hamas

Yesu: Wapendeni Adui zenu
Hamjielewi. Mumepigwa na kuhamshwa mpaka mmepotea kabisa.

Angalia hiyo picha ya kichanga mnachosema ni Yesu amewekwa na upanga.Kama nyinyi ni dini ya upendo nani kamchora Yesu akiwa mchanga na upanga.Afadhali angeutumia kupambana na adui zenu mayahudi.
 
Hamjielewji.Mumepigwa na kuhamshwa mpaka mmepotea kabisa.
Angalia hiyo picha ya kichanga mnachosema ni Yesu amewekwa na upanga.Kama nyinyi ni dini ya upendo nani kamchora Yesu akiwa mchanga na upanga.Afadhali angeutumia kupambana na adui zenu mayahudi.
Ungekuwa Muislamu usingeshindwa kuelewa Hili jambo dogo

Punguza kula Nyama ya nguruwe!
 
Wazayuni Nia Yao ni kuwagombanisha Wakristo na Waislamu ili wasipatane. Bahati mbaya baadhi ya Waislamu wanadhani Wakristo ni sawa na wazayuni, yaani hawajui mbaya wetu ni mmoja!!!
 
Muislamu mwenyewe kila moja ni adui yake awe mkristo, muyahudi, hindu, budha hata mpagani hajui kwamba dunia haiwezi kuwa kama anavyotaka yeye kwa sababu hajaiumba yeye.
 
Vita vya Gaza vilivyoanzia na mashambulizi ya Hamas ya oktoba 7 yakiwa ndio makubwa kwa miaka 75 katika kutetea ardhi za wapalestina kumeibua mambo mengi yaliyokuwa hayakujulikana na wengi mwanzo.
Miongoni mwa mambo hayo ni kuweza kuzitofautisha imani za dini ya kiislamu, kiyahudi na ukristo.
Waislamu daima wamejuwa kuwa mayahudi ambao waliundiwa taifa la Israel ndani ya Palestina kuanzia mwaka 1948,wamejua kuwa dini hiyo ni batili na wafuasi wake ni waliolaaniwa.Hata hivyo wafuasi wa kikristo hasa katika nchi za kiafrika wameathirika sana na kutoweza kutofautisha baina ya ukristo na uyahudi na hata kuwaona mayahudi kuwa ni wenzao na washirika wao dhidi ya waislamu.
Mafunzo mengi ya kiyahudi yameingizwa kwenye ukristo hasa kupitia makanisa yanayopata ufadhili kutoka Marekani.
Vita hivi vya Gaza vimetoa fursa kujua kuwa mayahudi walioko Israel hawana huruma na wakristo kabisa sawa na walivyo maadui kwa waislamu.
Visa hivyo na vitimbi vya mayahudi Jeusalem vimefanikiwa kuwatia hofu na kuwakimbiza kabisa wakristo eneo hilo takatifu.Wakristo kutoka nchi za mbali pekee ndio wanaofika kuzuru eneo hilo.
Briton Noel Gomez ambaye kazi yake ni kuwatembeza watalii wa kidini wakatoliki wanaingia Jerusalem hivi karibu alipata mshangao mkubwa alipotembelewa na mwandishi wa habari na kuingia naye ndani.
Akiwa mwenye haya usoni ,akasema looh !
"Nimepigwa na butwa kweli.Nilitaraji kukuta angalau watu 50 au 100.Lakini hapa ni mimi na wewe tu"
Muongoza watalii mwengine wa Israel,Naomi Miller ambaye hupata mkate wake kwa shughuli hiyo alipofika mwenyewe kukagua kituo chake cha kazi alisema
"Imekua kama zile hisia za Covid 19.Eneo takatifu kwa wakristo duniani kote na liko tupu namna hii !"
Sister wa dhehebu la Fransisca,Maria Celina Mendoza mwenye umri wa miaka 69 ambaye hufanya shughuli zake za kiroho Angola,kwa upande wake alipofika kwenye eneo hilo na kukuta alichokuwa hakutarajia akajisemea mwenyewe machozi yakimtoka.
"Ukweli kwamba wakristo wote wamehama hapa kunatia huzuni sana"

Jerusalem Christian landmark emptied of pilgrims

View attachment 2824248

View attachment 2824251
Ukristo ni dini ya upendo haifundishi chuki na ubaguzi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Vita vya Gaza vilivyoanzia na mashambulizi ya Hamas ya oktoba 7 yakiwa ndio makubwa kwa miaka 75 katika kutetea ardhi za wapalestina kumeibua mambo mengi yaliyokuwa hayakujulikana na wengi mwanzo.
Miongoni mwa mambo hayo ni kuweza kuzitofautisha imani za dini ya kiislamu, kiyahudi na ukristo.
Waislamu daima wamejuwa kuwa mayahudi ambao waliundiwa taifa la Israel ndani ya Palestina kuanzia mwaka 1948,wamejua kuwa dini hiyo ni batili na wafuasi wake ni waliolaaniwa.Hata hivyo wafuasi wa kikristo hasa katika nchi za kiafrika wameathirika sana na kutoweza kutofautisha baina ya ukristo na uyahudi na hata kuwaona mayahudi kuwa ni wenzao na washirika wao dhidi ya waislamu.
Mafunzo mengi ya kiyahudi yameingizwa kwenye ukristo hasa kupitia makanisa yanayopata ufadhili kutoka Marekani.
Vita hivi vya Gaza vimetoa fursa kujua kuwa mayahudi walioko Israel hawana huruma na wakristo kabisa sawa na walivyo maadui kwa waislamu.
Visa hivyo na vitimbi vya mayahudi Jeusalem vimefanikiwa kuwatia hofu na kuwakimbiza kabisa wakristo eneo hilo takatifu.Wakristo kutoka nchi za mbali pekee ndio wanaofika kuzuru eneo hilo.
Briton Noel Gomez ambaye kazi yake ni kuwatembeza watalii wa kidini wakatoliki wanaingia Jerusalem hivi karibu alipata mshangao mkubwa alipotembelewa na mwandishi wa habari na kuingia naye ndani.
Akiwa mwenye haya usoni ,akasema looh !
"Nimepigwa na butwa kweli.Nilitaraji kukuta angalau watu 50 au 100.Lakini hapa ni mimi na wewe tu"
Muongoza watalii mwengine wa Israel,Naomi Miller ambaye hupata mkate wake kwa shughuli hiyo alipofika mwenyewe kukagua kituo chake cha kazi alisema
"Imekua kama zile hisia za Covid 19.Eneo takatifu kwa wakristo duniani kote na liko tupu namna hii !"
Sister wa dhehebu la Fransisca,Maria Celina Mendoza mwenye umri wa miaka 69 ambaye hufanya shughuli zake za kiroho Angola,kwa upande wake alipofika kwenye eneo hilo na kukuta alichokuwa hakutarajia akajisemea mwenyewe machozi yakimtoka.
"Ukweli kwamba wakristo wote wamehama hapa kunatia huzuni sana"

Jerusalem Christian landmark emptied of pilgrims

View attachment 2824248

View attachment 2824251
Ukristo ni dini ya upendo haifundishi chuki na ubaguzi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wazayuni Nia Yao ni kuwagombanisha Wakristo na Waislamu ili wasipatane. Bahati mbaya baadhi ya Waislamu wanadhani Wakristo ni sawa na wazayuni, yaani hawajui mbaya wetu ni mmoja!!!
Bahati nyengine mbaya ni hiyo kwamba mayahudi wamejipenyeza kwenye ukristo hasa makanisa ya Afrika mpaka wakristo wa Afrika hawawezi kujua tofauti kati yao na mayahudi
 
Bahati nyengine mbaya ni hiyo kwamba mayahudi wamejipenyeza kwenye ukristo hasa makanisa ya Afrika mpaka wakristo wa Afrika hawawezi kujua tofauti kati yao na mayahudi
Ni kweli kabisa Mkuu. Yaani mpaka tuwawezeshe Wakristo hawa kuwatambua mazayuni si Wenzao ndipo tutaweza kuondoa tofauti zetu hizi.
 
Muislamu mwenyewe kila moja ni adui yake awe mkristo, muyahudi, hindu, budha hata mpagani hajui kwamba dunia haiwezi kuwa kama anavyotaka yeye kwa sababu hajaiumba yeye.
Ugomvi hauji mpaka pale wanapochokozwa.
Kwa mfano unayo taarifa kuwa Uislamu uliingia uchina kwa mabuda na India kwa baniani zamani sana kwa njia za kawaida bila mapigano na watu waliishi kwa amani.Waislamu walitawala maeneo hayo na kujenga misikiti mizuri sana.Kumbuka uislamu ndio dini ya kimaumbile na dini ya asili ya kila binadamu,hivyo kuenea kwake huja kwa njia za kimazingira basi.
Baada ya karne kadhaa wanakuja watu waliotiwa chuki na kutaka kuwaondoa waislamu.Nini unataraji kitatokea.
 
Mujahideen Pambaneni na Wayahudi

Ukristo ni Dini ya Upendo, twawapenda nyote hata hao Magaidi wa Hamas

Yesu: Wapendeni Adui zenu
Achana naye analazimisha kila mtu achukie wayahudi Kama alivyopandikizwa yeye na waarabu kuchukua wayahudi. Kuita wayahudi MAYAHUDI ni chuki ya waarabu dhidi ya wayahudi. Na yeye kwa ujinga unaita MAYAHUDI. Mbona watanzania hamuiti MATANZANIA?. Mwarabu anaishi na myahudi maisha ya unafiki Sana. Wanawaza kuwafuta duniani na myahudi anajua waarabu wanataka kuwafuta duniani. Unafikili Kuna myahudi ataishi kifala fala akikaa na mwarabu?
 
Achana naye analazimisha kila mtu achukie wayahudi Kama alivyopandikizwa yeye na waarabu kuchukua wayahudi. Kuita wayahudi MAYAHUDI ni chuki ya waarabu dhidi ya wayahudi. Na yeye kwa ujinga unaita MAYAHUDI. Mbona watanzania hamuiti MATANZANIA?. Mwarabu anaishi na myahudi maisha ya unafiki Sana. Wanawaza kuwafuta duniani na myahudi anajua waarabu wanataka kuwafuta duniani. Unafikili Kuna myahudi ataishi kifala fala akikaa na mwarabu?
Lugha ina minyambuliko yake ambayo haihitaji kuingiza siasa na chuki.
Ukisema mayahudi ni jina ambalo limeanza na kuzoeleka zaidi.Asili ya kuitwa jina hilo ni kwa vile Kiswahili kilipoanza kiliwaita jina hilo na hasa kwa vile Kiswahili kimeanza maeneo ya pwani ya Afrika Mashariki ambapo wakaazi wake wengi ni waislamu.Ukiacha kuingiza siasa jina lao linapaswa libake hivyo hivyo.
Katika lugha kuna maneno ya umoja yanachukua mnyambuliko tofauti inapokuja uwingi wake kulinganisha na maneno mengine
Wali ukiwa kwenye kisahani kidogo na ukiwa mwingi ni wali
Embe likiwa moja na mengi ni maembe
Kalamu ikiwa moja na kalamu zikiwa nyingi.Kwanini isiwe makalamu.
 
Hamjielewi.Mumepigwa na kuhamshwa mpaka mmepotea kabisa.
Angalia hiyo picha ya kichanga mnachosema ni Yesu amewekwa na upanga.Kama nyinyi ni dini ya upendo nani kamchora Yesu akiwa mchanga na upanga.Afadhali angeutumia kupambana na adui zenu mayahudi.
Mkuu, Kila mara nasisitiza kama jambo hulielewi eidha Kaa kimya au uliza.

Sasa ndio Nini haya mambo ya kuchukulia panga kuwa panga?

Katika BIBLIA TAKATIFU, NENO LA MUNGU, linafananishwa na Panga, na YESU anasema hakuja kuleta amani Bali upanga, mfano mtoto akiokoka akaanza kumshuhudia babaye ambaye ni mlevi kuwa pombe ni haramu, si patatokea vita?

Muwe mnauliza na si kuandika vitu hamna navyo uhakika...

Mathayo 10:34-39​

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake. “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili. Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata
 
Lugha ina minyambuliko yake ambayo haihitaji kuingiza siasa na chuki.
Ukisema mayahudi ni jina ambalo limeanza na kuzoeleka zaidi.Asili ya kuitwa jina hilo ni kwa vile Kiswahili kilipoanza kiliwaita jina hilo na hasa kwa vile Kiswahili kimeanza maeneo ya pwani ya Afrika Mashariki ambapo wakaazi wake wengi ni waislamu.Ukiacha kuingiza siasa jina lao linapaswa libake hivyo hivyo.
Katika lugha kuna maneno ya umoja yanachukua mnyambuliko tofauti inapokuja uwingi wake kulinganisha na maneno mengine
Wali ukiwa kwenye kisahani kidogo na ukiwa mwingi ni wali
Embe likiwa moja na mengi ni maembe
Kalamu ikiwa moja na kalamu zikiwa nyingi.Kwanini isiwe makalamu.
Acha kutetea. Myahudi akiwa mmoja wakiwa wengi Ni wayahudi. Mayahudi Ni chuki hakuna Cha kiswahili kuwa pwani Wala nini.pwani walijaa waarabu na ndiyo kwa chuki wakaita MAYAHUDI
 
Hamjielewi. Mumepigwa na kuhamshwa mpaka mmepotea kabisa.

Angalia hiyo picha ya kichanga mnachosema ni Yesu amewekwa na upanga.Kama nyinyi ni dini ya upendo nani kamchora Yesu akiwa mchanga na upanga.Afadhali angeutumia kupambana na adui zenu mayahudi.
Adui wa ukristo ni shetani
 
Kama Waislam wao kwa wao hawapatani, ndio waje kupatana na Wakristo

🤣 🤣 🤣
Kutopatana kwetu hakulingani na kukosana kwenu wakristo.
Wasiopatana kwetu waislamu ni viongozi vibaraka wanaogombanishwa na mayahudi kwa faida zao.
Misingi ya imani yetu utaiona huku mitaani.Tuna umoja mkubwa.
 
Back
Top Bottom