Kwanini Ukimwi Unazidi kupungua badala Ya kuongezeka

Wakuu mimi si mwanabiologia, ila Kuna mambo yananishangaza haswa kuhusu Ukimwi.

Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.

SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)


SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?
Mr ww chukulia umepungua alafu uza game au loweka ukishaupata ndo utajua kama umepungua au bado upo
 
Wakuu mimi si mwanabiologia, ila Kuna mambo yananishangaza haswa kuhusu Ukimwi.

Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.

SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)


SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?
Tunaomba publication ya data to substantiate madai yako
 
Wakuu mimi si mwanabiologia, ila Kuna mambo yananishangaza haswa kuhusu Ukimwi.

Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.

SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)


SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?
Hao wanaandaa report feki ili waendelee kupiga maokoto ya wafadhili ,We JICHANGANYE TU NI KHATARI OGHOPA ,NGWENGWE IPO SANA.
 
Wakuu mimi si mwanabiologia, ila Kuna mambo yananishangaza haswa kuhusu Ukimwi.

Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.

SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)


SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?
maumbile ya kibayolojia ya ke yameongezeka ukubwa upana na urefu, hali yakua maumbile ya kibayolojia ya me yamezidi kua madogo mafupi na membamba, na hivyo kupunguza pakubwa hali ya msuguano hadi kupelekea michubuko ambayo ndio chanzo cha maambukizi 🐒

matumizi ya vilainishi wakati wa kujamiina kamavile mafuta ya baby care na mafuta ya nazi, yamesaidia pakubwa kupunguza ukavu unaoweza kusababisha michubuko kwenye maeneo ya kibayolijia wakati wa kujamiiana na kusababisha maambukizi 🐒

matumizi sahihi ya condom japo ni kwa uchache sana 🐒

kujichua au punyeto, kusagana , kutumia midoli ya kike na kiume kujamiiana, kumesababisha maeneo ya kibayolojia kushika sugu na hivyo kua na hatari kidogo sana ya kuchubuka na kusababisha maambukizi ya ukimwi 🐒

upungufu wa nguvu za kijinsia kumepunguza kwa kiasi kikubwa sana hamu ya kujamiiana na ikitokea wenye shinda ya nguvu za kijinsia wanakuta kwenye teno, basi wanagusana tu kidogo kama kuku kabao ka moja mchezo umeisha.
Hii pia imesaidia kupunguza maambukizi ya ukimwi 🐒
 
Ukimwi upo sana tu

Kinachosaidia kidogo ni kwamba ukitumia dawa za kufubaza ukimwi hata uwezekano wa kuambukiza unakua mdogo sana

Kimsingi ni dawa za kufubaza ndio zinachangia maambukizi kupungua kwa wanaozitumia kwa usahihi
 
maumbile ya kibayolojia ya ke yameongezeka ukubwa upana na urefu, hali yakua maumbile ya kibayolojia ya me yamezidi kua madogo mafupi na membamba, na hivyo kupunguza pakubwa hali ya msuguano hadi kupelekea michubuko ambayo ndio chanzo cha maambukizi 🐒

matumizi ya vilainishi wakati wa kujamiina kamavile mafuta ya baby care na mafuta ya nazi, yamesaidia pakubwa kupunguza ukavu unaoweza kusababisha michubuko kwenye maeneo ya kibayolijia wakati wa kujamiiana na kusababisha maambukizi 🐒

matumizi sahihi ya condom japo ni kwa uchache sana 🐒

kujichua au punyeto, kusagana , kutumia midoli ya kike na kiume kujamiiana, kumesababisha maeneo ya kibayolojia kushika sugu na hivyo kua na hatari kidogo sana ya kuchubuka na kusababisha maambukizi ya ukimwi 🐒

upungufu wa nguvu za kijinsia kumepunguza kwa kiasi kikubwa sana hamu ya kujamiiana na ikitokea wenye shinda ya nguvu za kijinsia wanakuta kwenye teno, basi wanagusana tu kidogo kama kuku kabao ka moja mchezo umeisha.
Hii pia imesaidia kupunguza maambukizi ya u
maumbile ya kibayolojia ya ke yameongezeka ukubwa upana na urefu, hali yakua maumbile ya kibayolojia ya me yamezidi kua madogo mafupi na membamba, na hivyo kupunguza pakubwa hali ya msuguano hadi kupelekea michubuko ambayo ndio chanzo cha maambukizi 🐒

matumizi ya vilainishi wakati wa kujamiina kamavile mafuta ya baby care na mafuta ya nazi, yamesaidia pakubwa kupunguza ukavu unaoweza kusababisha michubuko kwenye maeneo ya kibayolijia wakati wa kujamiiana na kusababisha maambukizi 🐒

matumizi sahihi ya condom japo ni kwa uchache sana 🐒

kujichua au punyeto, kusagana , kutumia midoli ya kike na kiume kujamiiana, kumesababisha maeneo ya kibayolojia kushika sugu na hivyo kua na hatari kidogo sana ya kuchubuka na kusababisha maambukizi ya ukimwi 🐒

upungufu wa nguvu za kijinsia kumepunguza kwa kiasi kikubwa sana hamu ya kujamiiana na ikitokea wenye shinda ya nguvu za kijinsia wanakuta kwenye teno, basi wanagusana tu kidogo kama kuku kabao ka moja mchezo umeisha.
Hii pia imesaidia kupunguza maambukizi ya ukimwi 🐒
Hoja yako izingatiwe 😂
 
Kitakacho tokea kitokee tu halafu mimi nitaenda kupima, nikiwa fresh na wewe unakuwa umeshapima.
Hapo ndio tunajipa matumaini fake, eti vile mwenzi wangu yuko poa basi hata mimi sina tatizo...mmh
 
Wakuu mimi si mwanabiologia, ila Kuna mambo yananishangaza haswa kuhusu Ukimwi.

Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.

SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)


SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?
Una statistics gani kujua kwamba watu kufanya ngono zembe wanazidi na sio kupungua? 🤣Ni sawa na kuuliza why death rate inapungua wakati watu wanaongezeka... population sio the only factor ya kitu.. elewa Hilo kwanza afu ufuatilie vizuri kwa kina sio story za vijiweni
 
maumbile ya kibayolojia ya ke yameongezeka ukubwa upana na urefu, hali yakua maumbile ya kibayolojia ya me yamezidi kua madogo mafupi na membamba, na hivyo kupunguza pakubwa hali ya msuguano hadi kupelekea michubuko ambayo ndio chanzo cha maambukizi 🐒

matumizi ya vilainishi wakati wa kujamiina kamavile mafuta ya baby care na mafuta ya nazi, yamesaidia pakubwa kupunguza ukavu unaoweza kusababisha michubuko kwenye maeneo ya kibayolijia wakati wa kujamiiana na kusababisha maambukizi 🐒

matumizi sahihi ya condom japo ni kwa uchache sana 🐒

kujichua au punyeto, kusagana , kutumia midoli ya kike na kiume kujamiiana, kumesababisha maeneo ya kibayolojia kushika sugu na hivyo kua na hatari kidogo sana ya kuchubuka na kusababisha maambukizi ya ukimwi 🐒

upungufu wa nguvu za kijinsia kumepunguza kwa kiasi kikubwa sana hamu ya kujamiiana na ikitokea wenye shinda ya nguvu za kijinsia wanakuta kwenye teno, basi wanagusana tu kidogo kama kuku kabao ka moja mchezo umeisha.
Hii pia imesaidia kupunguza maambukizi ya ukimwi 🐒
🤣🤣🤣Kwa hoja zako ungekuwa china wangekunyonga kwa kupotosha umma
 
Back
Top Bottom