Kwanini ukimpenda mdada kabla ya yeye kukupenda anakunyanyasa

Hapa kuna point

From profile picture to proper future
 
Hilo ni swali rahisi sana. Hata wewe mdada akikupenda kwanza lazima apate tabu unajua kwanini? Sababu she doesn’t know you, hajui ur values hakujui kabisa but akikupa nafasi and after sometime when she finds out what kinda person you are na kadhalika naye atajifunza kukupenda and wote mtakua sasa kwenye page moja.
 
Umeolewa? Mwanamke wangu yuko radhi nimnunulie home theatre ya laki saba kuliko kumpa laki tisa ya mtaji
Duuh, ataila hiyo home theatre ?au, ndyo atakua anaenjoy good music huku anakuomba hadi hela ya vocha tena aisee, wkt angepata huo mtaji akafanya biashara faida akaja kununua hiyo home theatre, ale magoma wee mpk aseme basii huku biashara inaendelea


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajua nikishampa ya home theatre baadae akiniomba ya mtaji nitatoa wakati now mambo yamebana kidogo, anajua project nilizokuwa nazo ambazo zinamaliza pesa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…